Mimi ni hizi shughuli tu ila huwa nina mpango wa kufuga kwa mtindo wa kiDrogba.
Nywele zinataka usafi wa hali ya juu zikishakuwa refu kuanzia kujikausha na mafuta unaayotumia. (Kipilipili sio kizuri kwa kufuga).
Nafikiri zangu zikiwa nyingi zinafungika kwa zilivyo zikikataa ni poa pia.Kama wewe ni mwanamme wa Dar naelewa nia yako. Drogba anachoma nywele ili ziwe laini na kufanya kuwa ndefu ili azifunge kama wazungu. Watu wa Ivory Coast na nchi nyingi za Afrika Magharibi wana haya matatizo ya kujifananisha na wazungu na ndiyo maana wanajichubua sana. I hope hujafikia kuwa na haya matatizo ya kiakili.
Nimegundua ni rahisi kuchana zikiwa bado mbichi, shida ni huwezi kupaka mafuta nywele mbichiMimi ni hizi shughuli tu ila huwa nina mpango wa kufuga kwa mtindo wa kiDrogba.
Nywele zinataka usafi wa hali ya juu zikishakuwa refu kuanzia kujikausha na mafuta unaayotumia. (Kipilipili sio kizuri kwa kufuga).
Ebu nitumie pic nione hzo nyweleNafikiri zangu zikiwa nyingi zinafungika kwa zilivyo zikikataa ni poa pia.
Nafikiri zangu zikiwa nyingi zinafungika kwa zilivyo zikikataa ni poa pia.
Basi zako zitakuwa ngumuNimegundua ni rahisi kuchana zikiwa bado mbichi, shida ni huwezi kupaka mafuta nywele mbichi
Angalia pmEbu nitumie pic nione hzo nywele
Utaolewa wewe Masai wa kigomaMimi ni hizi shughuli tu ila huwa nina mpango wa kufuga kwa mtindo wa kiDrogba.
Nywele zinataka usafi wa hali ya juu zikishakuwa refu kuanzia kujikausha na mafuta unaayotumia. (Kipilipili sio kizuri kwa kufuga).
Mkuu haya mambo yapo subjective...Na mkorogo unatumia pia?
Haya.Utaolewa wewe Masai wa kigoma
Katika maisha yangu sijawahi kunyoa dongo(kipara). Nataka nibakize kidogo za kitana tuMkuu unatoa nywele unabakia na kipara.? Au unakua na unga unga.? Binafsi nilishashindwa hata kupunguza. Nywele raha bhana. Zangu hazina matunzo hata mafuta yoyote ila zina muonekano mzuri. Hii inategemea na nywele zako.
Ndo bass tena matumaini yamepotea, ngoja nijaribu kwenda nazo taratibuNywele zako ni kipilipili ndo maana zinauma ukichana
Tengeneza dread kama utapenda,japo hizi zinaonekanaga kama uhuni hiv hasa makazini,ukishindwa nyoa tu hamna namnaNdo bass tena matumaini yamepotea, ngoja nijaribu kwenda nazo taratibu
Legends wote tunanyoa dongo, tena la kiwembeKatika maisha yangu sijawahi kunyoa dongo(kipara). Nataka nibakize kidogo za kitana tu
Asante mkuu, bahati nzuri sehem niliyopo hamna hizi judgment za namna hii, unaweza kufanya yote ili mradi haimbugudhi mwingineTengeneza dread kama utapenda,japo hizi zinaonekanaga kama uhuni hiv hasa makazini,ukishindwa nyoa tu hamna namna