Yamewahi kukutokea?

Yamewahi kukutokea?

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Wakati tupo wadogo tuliambiwa tusipige Mruzi usiku, tusikae kwa muda mrefu kwenye mwanga ambao kivuli kikiwa exposed wala kuimba usiku.

Kisa wachawi wachukua.

Je, kuna ukweli wowote?⁉️
 
Wakati tupo wadogo tuliambiwa tusipige Mrusi usiku, tusikae kwa muda mrefu kwenye mwanga ambao kivuli kikiwaexposed wala kuimba usiku.
Kisa wachawi wachukua.
Je, kinaukweli wowote?[emoji3480]
Jua likizama tuliaambiwa chumvi isiitwe chumvi badala yake iitwe dawa ya jiko hii mambo sijaielewaga mpaka kesho
 
Back
Top Bottom