Mwanzilishi na mmiliki wa kundi la Muziki la Yamoto band pamoja na TMK Wanaume Said Fella amesema atamualika na kumuomba rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa za vijana wa Yamoto band ifikapo mwezi July. Hayo amesema kwenye birthday ya mmoja wa kundi la yamoto ambaye ni kiongozi wao kundi hilo ambae anafahamika kama Asley. Hongera sana Fella kwani pia hata Nature, Chege na Temba ulihakikisha wanamiliki nyumba zao zaidi ya moja kila moja.
source: Said Fella kumuomba Rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa alizowajengea Yamoto Band Bongo5.com