Mkuu hao wana network sio station moja kaka.....wana connection radio na tv karibia zote nchin za dar....Umemsahau na Ruge mkuu.Huu ni upuuzi,kwa jinsi teknolojia alivyokuwa sielewi kwanini wasanii bado wanaendelea kuwa nyenyekea hao.Ukizingatia pia radio sio moja inchi hii.
Hayo ni maoni yangu na SIJAKURUPUKA NA SIBADIRI MAWAZO HATA UKITOA MAKOOZI SEMBUSE MAPOVU YAKO YASIO NA HOJA.Sio bure,wewe na mabosi wako mna matatizo na EA RADIO/EATV.Hiki kinacho onyeshwa hapo ni maneno ya kutungwa au dogo mwenyewe anaongea? Ni nani asiyejua kuwa Fella amekuwa anawanyonya madogo? Acheni kupeleka ngoma zenu kwao na msusie interviews, sio kueneza propaganda za kitoto mitandaoni.Watu wamepitia blood,sweat and tears kujenga hizo brands halafu nyie mnakesha mitandaoni kujaribu ku tarnish image yao katika jamii.Hii haikubaliki, akirushiwa jiwe Diamond mbio utakuja kutukana hapa.Waacheni wafanye yao na nyie fanyeni yenu kwa style zenu.
Kivipi ??Wasafi wametuharibia vijana kwa kweli.
Habari za EATV na EA Radio habari zao mara nyingi ni zile zenye ujumbe m'baya kwa wasanii wote walio na "mafungamano" ya moja kwa moja au kwa namna nyingine na "TIMU YA MAFANIKIO" lakini hata siku moja utosikia habari mbaya inayomuhusu "balozi wa tembo" (UTAYAONA HAYO KAMA UKO VIZURI KICHWANI,ILA KAMA BURE KICHWANI UWEZI KUONA)
Ni hoja ipi uliyo iandika wewe, zaidi ya propaganda zenu za kitoto?Hayo ni maoni yangu na SIJAKURUPUKA NA SIBADIRI MAWAZO HATA UKITOA MAKOOZI SEMBUSE MAPOVU YAKO YASIO NA HOJA.