Yamoto bend wafunguka kuhusu ugomvi wao na Fella na sababu za ukimya wao

Umemsahau na Ruge mkuu.Huu ni upuuzi,kwa jinsi teknolojia alivyokuwa sielewi kwanini wasanii bado wanaendelea kuwa nyenyekea hao.Ukizingatia pia radio sio moja inchi hii.
Mkuu hao wana network sio station moja kaka.....wana connection radio na tv karibia zote nchin za dar....
muangalie tunda anavyopata tabu baada ya kutofautiana na tale
 
Hayo ni maoni yangu na SIJAKURUPUKA NA SIBADIRI MAWAZO HATA UKITOA MAKOOZI SEMBUSE MAPOVU YAKO YASIO NA HOJA.
 

mkuu wewe una yako,
hii ni interview muhusika anajielezea mwenyewe achana na mambo ya hizo team ushuzi zinasababisha unajivua akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…