Hakikaa..... Angalia link hii http://www.jamboforums.com/showthread.php?p=133028#post133028hizi rangi kijani naona zimekuwa nyingi hii ni nini? au ni kuzima yale madai ya wenzetu wanaodai rangi ya buluu imeenea na hii ni chama fulani forum?
nnaomba kuelimishwa kulikoni?
jamani ni suala tu nisijibiwe kwa kubonyezwa kizenji
hizi rangi kijani naona zimekuwa nyingi hii ni nini? au ni kuzima yale madai ya wenzetu wanaodai rangi ya buluu imeenea na hii ni chama fulani forum?
nnaomba kuelimishwa kulikoni?
jamani ni suala tu nisijibiwe kwa kubonyezwa kizenji
Bi Anna Makinda yuko hwani anasoma kanuni mpya ya kumweka Waziri mkuu kitomoto lakini naona wanajenga hoja ya kumlinda ipasavyo. Wanasema maswali binafsi hayatakiwi ,maswali ya kusikia hayatakiwi maswali ya uzushi hayatakiwi sasa sijui watakuwa wanamuuliza nini . Huu mtego sasa .Karibuni Dodoma Makinda bado analeta mipango yao .Kila Alhamisi Mamvi atakuwa hewani kwa dakuka 30 akilambwa maswali .Naendelea kusikiliza toka hapa Dodoma .