ndo mana ndoa za wazee wetu zilidumuWanandoa wengi sana wapo hatarini kuachana au kutengana na wengine tayari wameshapigiana stop ya usinijue, kila mtu kivyake
ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na sintofahamu katika ndoa ili yasaidie kutuweka katika mstari.
1. kukosa mawasiliano
2. Tafsiri potofu ya jambo bila ya kumuuliza mwenza wako
3. Kusema uongo
4. kutoka nje ya ndoa
5. Kuruhusu ndugu kuingilia mambo yenu
6. Ugumu wa maisha
7. Tamaa ya maisha mazuri
Nawe unaweza ongezea,
Wanandoa wengi sana wapo hatarini kuachana au kutengana na wengine tayari wameshapigiana stop ya usinijue, kila mtu kivyake
ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na sintofahamu katika ndoa ili yasaidie kutuweka katika mstari.
1. kukosa mawasiliano
2. Tafsiri potofu ya jambo bila ya kumuuliza mwenza wako
3. Kusema uongo
4. kutoka nje ya ndoa
5. Kuruhusu ndugu kuingilia mambo yenu
6. Ugumu wa maisha
7. Tamaa ya maisha mazuri
Nawe unaweza ongezea,
na hii nayo ni hatari sana watu wanapenda sana nao waonekane matawi ya juu, matokeo yake wanakosa mwana na maji ya motoAina ya marafiki wasiofaa na kutaka kuiga style zao za maisha,huleta kero na kutoelewana!
Sms zina tatizo gani kama wote ni waaminifu. Tumrudie Mungu.kusomasoma msg za mwenzi wako nayo ni sababu kuu
Wanandoa wengi sana wapo hatarini kuachana au kutengana na wengine tayari wameshapigiana stop ya usinijue, kila mtu kivyake
ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na sintofahamu katika ndoa ili yasaidie kutuweka katika mstari.
1. kukosa mawasiliano
2. Tafsiri potofu ya jambo bila ya kumuuliza mwenza wako
3. Kusema uongo
4. kutoka nje ya ndoa
5. Kuruhusu ndugu kuingilia mambo yenu
6. Ugumu wa maisha
7. Tamaa ya maisha mazuri
Nawe unaweza ongezea,
Unajua tatizo la sms kwa upande mwingine ni kubwa hasa kama hamuaminiani msomaji ana kazi ya kujirusha roho muda wote , huenda sasa hivi yupo na fulani au anafnya jambo fulani ...Sms zina tatizo gani kama wote ni waaminifu. Tumrudie Mungu.
hii ni matokeo ya matatizo mlonayo kwa muda mrefu na mmoja wenu kuona tendo la ndoa kama vile adhabu au kama anakupendelea vile na sio wajibu wakekunyimana haki ya ndoa!