[NeVER UNDERESTIMATE TANZANIA[/COLOR]mwisho wa ccm umefika yatawapata yaliowapata kanu ya kenya
Kwa ufupi:
Kuna mengine nayaleta, nipe muda tu
- Mzee Malecela amehakikishiwa nafasi na Lusinde katupwa nje vibaya sana na kudaiwa kuwa alidanganya suala la Elimu yake, Lusinde kakasirika sana kwa hali hii na huenda akachukua hatua ambayo haikutarajiwa ndani ya CCM, si tetesi hizi!
- Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba amewapigia simu mkoa wa Manyara akitaka kura za maoni huko Simanjiro ambako alishinda Ole Sendeka zirudiwe (nia ni kumng'oa Sendeka) lakini wao wakamwuliza mbona hakukuwa na malalamiko hata chembe wala kasoro yoyote? Wana CCM kule Simanjiro wanashangaa kule Bumbuli ambako Januari aligombea hawajarudia japo kulikuwa na malalamiko kadha wa kadha lakini wao wanalazimishwa kurudia, wanaonekana kukasirishwa na maamuzi ya kulazimishwa.
Hivi Mzee Malecela anataka kungangania hilo jimbo hadi lini awe na busara awaachie wengine ama aliambiwa hilo jimbo ni lake milele (Mbunge wa Maisha Mtera).
Chanzo chako cha hii habari ni wapi?
Hii ni Jimbo lake alikatiwa baada ya kuwa anashindwa lile jimbo lake la......Chilonwa sikumbuki sawawa
watakuja tu! waende wapi?
Source please, na pia endelea kutujuzaKutoka kwa mzee wa Sauti za Umeme!
I saw this coming...! Malecela hawezi kuachwa nyuma
Kutoka kwa mzee wa Sauti za Umeme!
Kwa ufupi:
Kuna mengine nayaleta, nipe muda tu
- Mzee Malecela amehakikishiwa nafasi na Lusinde katupwa nje vibaya sana na kudaiwa kuwa alidanganya suala la Elimu yake, Lusinde kakasirika sana kwa hali hii na huenda akachukua hatua ambayo haikutarajiwa ndani ya CCM, si tetesi hizi!
- Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba amewapigia simu mkoa wa Manyara akitaka kura za maoni huko Simanjiro ambako alishinda Ole Sendeka zirudiwe (nia ni kumng'oa Sendeka) lakini wao wakamwuliza mbona hakukuwa na malalamiko hata chembe wala kasoro yoyote? Wana CCM kule Simanjiro wanashangaa kule Bumbuli ambako Januari aligombea hawajarudia japo kulikuwa na malalamiko kadha wa kadha lakini wao wanalazimishwa kurudia, wanaonekana kukasirishwa na maamuzi ya kulazimishwa.
Wacha wafu wawazike wafu wenzao,nyie yawauma nini?
Kwa ufupi:
- ................
- Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba amewapigia simu mkoa wa Manyara akitaka kura za maoni huko Simanjiro ambako alishinda Ole Sendeka zirudiwe (nia ni kumng'oa Sendeka) lakini wao wakamwuliza mbona hakukuwa na malalamiko hata chembe wala kasoro yoyote? Wana CCM kule Simanjiro wanashangaa kule Bumbuli ambako Januari aligombea hawajarudia japo kulikuwa na malalamiko kadha wa kadha lakini wao wanalazimishwa kurudia, wanaonekana kukasirishwa na maamuzi ya kulazimishwa.
Kuna mengine nayaleta, nipe muda tu