The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Nisiseme mengi Sana.
Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully.
Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi mahakama inavyoyaunga mkono na kupelekea nchi kutotawalika inaonyesha kiasi gani ukiiendekeza Sana democracy kwa nchi za africa mambo hayaendi sawa mnaishia siasa, kukamatana, maandamano, biashara zinashindwa kufanyika.
Nchi imeshindwa kwenda mbele baada ya uchaguzi
Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully.
Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi mahakama inavyoyaunga mkono na kupelekea nchi kutotawalika inaonyesha kiasi gani ukiiendekeza Sana democracy kwa nchi za africa mambo hayaendi sawa mnaishia siasa, kukamatana, maandamano, biashara zinashindwa kufanyika.
Nchi imeshindwa kwenda mbele baada ya uchaguzi