samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 750
- 1,086
Maandamano yameshika kasi katika maeneo yale yanayoungwa na mzee wa kitendawili na si Kenya as wide.Lakini huyo Raila mimi nashindwa kumwelewa kwa namna nchi ya Kenya inavyoendesha mambo ni tofauti kabisa na nchi kama Tz ambapo baada ya uchaguzi wa Rais kama hujaridhika na matokeo unapeleka mahakama ya upeo wanaona kama mshindi ni halali au la na alifanya hivyo na akabwagwa.Labda hoja yake ambayo ni halali ni hiyo ya inflation ya vyakulaKatika Kaunti 47 ni kaunti ngapi zilifanya maandamano ya kusimamisha nchi?
Nimekupa mfano hai wewe unasema tena 'kama', hiyo kama haijatokea, so ni possible kuwa na peaceful electionsNa hapo ndiyo ninaposema complete democracy ni ngumu kwasababu hizo nchi kama wapinzani wangegoma ku move on na nchi kushindwa kutawalika basi hao viongozi waliochaguliwa kidemokrasia wangepata tabu Sana. Pengine wangechukua maamuzi kama ya magufuli dhidi ya maandamano ya UKUTA
Hana hoja, kipindi cha Uhuru vyakula ndio vilikuwa ghali zaidi kuliko sasa na akawaambia kundi la Ruto waache kumlaumu UhuruMaandamano yameshika kasi katika maeneo yale yanayoungwa na mzee wa kitendawili na si Kenya as wide.Lakini huyo Raila mimi nashindwa kumwelewa kwa namna nchi ya Kenya inavyoendesha mambo ni tofauti kabisa na nchi kama Tz ambapo baada ya uchaguzi wa Rais kama hujaridhika na matokeo unapeleka mahakama ya upeo wanaona kama mshindi ni halali au la na alifanya hivyo na akabwagwa.Labda hoja yake ambayo ni halali ni hiyo ya inflation ya vyakula
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mtu mweusi ana mafatizo ya kufikiri hasa Africa.Nisiseme mengi Sana.
Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully.
Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi mahakama inavyoyaunga mkono na kupelekea nchi kutotawalika inaonyesha kiasi gani ukiiendekeza Sana democracy kwa nchi za africa mambo hayaendi sawa mnaishia siasa, kukamatana, maandamano, biashara zinashindwa kufanyika.
Nchi imeshindwa kwenda mbele baada ya uchaguzi
Mkuu umeongea ukweli mtupu kuhusu hawa wapinzani. Definition ya demokrasia kwao ni pale wanapopewa kipaumbele wao na maslahi yao kutoingiliwa hata kama wako kinyume na utaratibu.Tatizo kubwa kabisa ni kuwa “Maskini ananunulika” ndiyo maana hakuna nchi iliyoendelea kupitia demokrasia. Hata waarabu siyo demokrasia, tena kule ukileta ujinga wanakulamba jambia. Demokrasia huja pale ambapo kila mmoja ana uhakika wa mlo, kama ilivyo kwa kengeza na wenzake baada ya kupata mlungula sasa wanasema kuna demokrasia ila kabla ya hapo ile demokrasia ya maendeleo ya Dkt Magufuli hawakuwa wanaitaka kabisa, kina ayatola nao hivyo hivyo hela hela hela
Sasa kama hayo ya Kenya ndiyo maana ya Demokrasia badi hakuna haja ya kuyaona Tanzania Wala Rwanda .Naamini hizo ni hatua kuelekea kuzuri, hata hao tunaojifunza democracy , haikuwa rahisi kupata haki moja kwa moja.
Watapata suluhisho na nchi itasonga mbele
Yes wanaandamana lakini tunaona kabisa mihimili ina mwisho wa mamlaka , kitu ambacho kwa Tanzania hakiwezekani.
Demokrasia haiendelei Afrika kwa sababu ya ubinafsi....mfano Kenya na Afrika ya Kusini viongozi waliochaguliwa ki demokrasia hawajaleta mabadiliko hitajika zaidi ya kufanya 'nepotism' fikiria kiongozi mkubwa serikalini anadiriki kusema serikali ni kama kampuni hivyo wenye hisa lazima washibe kwanzaNisiseme mengi Sana.
Sote tuliisifia Kenya kwa kufanya uchaguzi huruma kabisa na matokeo yakatangazwa na ruto akashika nchi peacefully.
Ila maandamano yanayoendelea Kenya pamoja na jinsi mahakama inavyoyaunga mkono na kupelekea nchi kutotawalika inaonyesha kiasi gani ukiiendekeza Sana democracy kwa nchi za africa mambo hayaendi sawa mnaishia siasa, kukamatana, maandamano, biashara zinashindwa kufanyika.
Nchi imeshindwa kwenda mbele baada ya uchaguzi
Na hii ni dalili njema, wenzetu wanajaribu wakati sisi tunaogopa hata kujitetea na kusubiri huruma ya watawala.....Naamini hizo ni hatua kuelekea kuzuri, hata hao tunaojifunza democracy , haikuwa rahisi kupata haki moja kwa moja.
Watapata suluhisho na nchi itasonga mbele
Yes wanaandamana lakini tunaona kabisa mihimili ina mwisho wa mamlaka , kitu ambacho kwa Tanzania hakiwezekani.
Narudia Tena, demokrasia kamili haiwezezekani Africa
Hawaezi jitokeza saa hii wamejifungia kimyaNgoja akina "tuige kenya" waje kukupika.
hakuna kitu kinachoitwa demokrasia hapa duniani, wala hakuna kitu kinachoitwa demokrasia kamili popote duniani,......Narudia Tena, demokrasia kamili haiwezezekani Africa