Yanayoendelea Tanzania yatakavyoamua siasa za Kenya hasa kwa upande wa NASA.

Yanayoendelea Tanzania yatakavyoamua siasa za Kenya hasa kwa upande wa NASA.

Nsema

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
275
Reaction score
479
Kenya imekua miongoni mwa nchi bora kwenye upande wa democracy ukiachana na Ghana,na Nigeria. Kwa upande wa nchi zinazoendelea kusini mwa jangwa la sahara hakuna nchi inayoifikia kwa democracy yao. Democracy yao imechagizwa zaidi na katiba yao ambayo imeheshimiwa sana na utawala wa Jubilee kinyume na matarajio ya wengi.
Nimesema kinyume na matarajio ya wengi kwasababu utawala wa Jubilee ulikumbana na misukosuko hasa baada ya viongozi wake wakuu "Uhuru Kenyatta " na "Mh. William Rutto" kushitakiwa na mahakamani ya makosa ya jinai uhalifu wa kibinadamu huko The Hague Uholanzi.
Baada ya kesi zao kukosa nguvu hawa watawala wajitahidi kuimarisha democracy ya Kenya na kusisitiza amani na upendo kila wapandapo majukwaani.

Pia kuthibitisha utawala wa akina Uhuru na Rutto ulikuwa wa demokrasia kushinda wa Kibaki aliyempora ushindi Raila, na yule wa mzee Moi. wakati Yahya Jamey Rais wa zamani wa Gambia akigoma kuachia madaraka kwa Adam Barrow Rais wa sasa, Mh Kenyatta alisema yupo tayari kukabidhi madaraka iwapo atashindwa bila shida yoyote kitu ambacho ni nadra kusikia kutoka kwa viongozi nchi wanachama Africa Mashariki.

Siasa za Tanzania Kwasasa zimekandamiza upinzani.Mfano Tanzania chama cha upinzani hakiruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara na wananchi , kuna baadhi ya maeneo mfano maeneo kama Nyasa na chato Police waliwakamata viongozi wa chadema na wafuasi wao wakati wakifanya mkutano wao wa ndani.Kwa ufupi utawala wa Tanzania wa chama Tawala umekandamiza vyama vingine kufanya siasa huku wao wakifanya mikutano ya hadhara kwa mwamvuli wa ziara za viongozi wao.
Utawala wa Tanzania hasa Rais JPM anaurafiki na mmoja wa viongozi wakuu wa NASA, na utawala wa Tanzania Kwasasa unafanana na ule wa Kagame wa Rwanda.
JPM na Kagame ni marafiki na tangu uimarike Tanzania inapitia kwenye hali mbaya kisiasa hasa kukamatwa na kufungwa mahabusu wapinzani tu.

Tunaamini utawala wa NASA utairudisha nyuma sana Kenya kwenye democracy. Kwani kuwa na katiba bora ni suala mmoja ila kupata kuiheshimu ni busara za mtawala. Ukweli ni kuwa utawala wa NASA hsutatofautiana na wa JPM wa Tanzania kutokana na uswahiba wao.

Wakenya tufanye uamuzi sahihi kwani democracy ndiyo msingi wa maendeleo.
Mwisho Kenya bado IPO mbali kiuchumi na Tanzania haiwezi kuifikia. Utawala wa Tanzania umejikita kukamata akina Tundu Lissu, na Kumsaidia Lipumba ili chama cha Cuf kikose nguvu visiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee unapiga kampeni kumbe...

BTW, wakenya wapo wengi humu watakusoma maana ndiyo wapiga kura.
 
Kenya imekua miongoni mwa nchi bora kwenye upande wa democracy ukiachana na Ghana,na Nigeria. Kwa upande wa nchi zinazoendelea kusini mwa jangwa la sahara hakuna nchi inayoifikia kwa democracy yao. Democracy yao imechagizwa zaidi na katiba yao ambayo imeheshimiwa sana na utawala wa Jubilee kinyume na matarajio ya wengi.
Nimesema kinyume na matarajio ya wengi kwasababu utawala wa Jubilee ulikumbana na misukosuko hasa baada ya viongozi wake wakuu "Uhuru Kenyatta " na "Mh. William Rutto" kushitakiwa na mahakamani ya makosa ya jinai uhalifu wa kibinadamu huko The Hague Uholanzi.
Baada ya kesi zao kukosa nguvu hawa watawala wajitahidi kuimarisha democracy ya Kenya na kusisitiza amani na upendo kila wapandapo majukwaani.

Pia kuthibitisha utawala wa akina Uhuru na Rutto ulikuwa wa demokrasia kushinda wa Kibaki aliyempora ushindi Raila, na yule wa mzee Moi. wakati Yahya Jamey Rais wa zamani wa Gambia akigoma kuachia madaraka kwa Adam Barrow Rais wa sasa, Mh Kenyatta alisema yupo tayari kukabidhi madaraka iwapo atashindwa bila shida yoyote kitu ambacho ni nadra kusikia kutoka kwa viongozi nchi wanachama Africa Mashariki.

Siasa za Tanzania Kwasasa zimekandamiza upinzani.Mfano Tanzania chama cha upinzani hakiruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara na wananchi , kuna baadhi ya maeneo mfano maeneo kama Nyasa na chato Police waliwakamata viongozi wa chadema na wafuasi wao wakati wakifanya mkutano wao wa ndani.Kwa ufupi utawala wa Tanzania wa chama Tawala umekandamiza vyama vingine kufanya siasa huku wao wakifanya mikutano ya hadhara kwa mwamvuli wa ziara za viongozi wao.
Utawala wa Tanzania hasa Rais JPM anaurafiki na mmoja wa viongozi wakuu wa NASA, na utawala wa Tanzania Kwasasa unafanana na ule wa Kagame wa Rwanda.
JPM na Kagame ni marafiki na tangu uimarike Tanzania inapitia kwenye hali mbaya kisiasa hasa kukamatwa na kufungwa mahabusu wapinzani tu.

Tunaamini utawala wa NASA utairudisha nyuma sana Kenya kwenye democracy. Kwani kuwa na katiba bora ni suala mmoja ila kupata kuiheshimu ni busara za mtawala. Ukweli ni kuwa utawala wa NASA hsutatofautiana na wa JPM wa Tanzania kutokana na uswahiba wao.

Wakenya tufanye uamuzi sahihi kwani democracy ndiyo msingi wa maendeleo.
Mwisho Kenya bado IPO mbali kiuchumi na Tanzania haiwezi kuifikia. Utawala wa Tanzania umejikita kukamata akina Tundu Lissu, na Kumsaidia Lipumba ili chama cha Cuf kikose nguvu visiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana, Lema wa Arusha amepiga mkutano pale Arusha, huko kukatazwa kupi unaongelea.
 
Wakenya tufanye uamuzi sahihi kwani democracy ndiyo msingi wa maendeleo.
Mwisho Kenya bado IPO mbali kiuchumi na Tanzania haiwezi kuifikia. Utawala wa Tanzania umejikita kukamata akina Tundu Lissu, na Kumsaidia Lipumba ili chama cha Cuf kikose nguvu visiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

siku hizi mnashinda huku kupiga kampeni waacheni wakenya waamue wenyewe
 
Jana, Lema wa Arusha amepiga mkutano pale Arusha, huko kukatazwa kupi unaongelea.
Kulingana na matakwa ya watawala wa Tanzania, Mbunge anaweza Fanya mkutano ila huo mkutano ni marufuku kumkaribisha Kiongozi yoyote kutoka mahala pengine kuhutubia.
Kwa upande wa Kenya haijawahi tokea chini ya Kenyatta, mfano wakati vyama vya upinzani vinagoma kwaajili ya tume huru kupitia maandamano, Kenyatta aliwaita wapinzani wake wakajadiliana na yakaisha. Hii ni nadra kwa utawala kandamizi wa Tanzania, na kule Uganda bila kusahau Rwanda.

Utawala wa Kenya unabusara sana za kiungozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulingana na matakwa ya watawala wa Tanzania, Mbunge anaweza Fanya mkutano ila huo mkutano ni marufuku kumkaribisha Kiongozi yoyote kutoka mahala pengine kuhutubia.
Kwa upande wa Kenya haijawahi tokea chini ya Kenyatta, mfano wakati vyama vya upinzani vinagoma kwaajili ya tume huru kupitia maandamano, Kenyatta aliwaita wapinzani wake wakajadiliana na yakaisha. Hii ni nadra kwa utawala kandamizi wa Tanzania, na kule Uganda bila kusahau Rwanda.

Utawala wa Kenya unabusara sana za kiungozi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kulingana na muono wako, niliamini wakenya ndo walipaswa kuku lecture wewe na siyo wewe kuwapa lecture.
Kwamaana nchi ambayo iko backward haiwezi influence developed one ktk jambo lolote. Yani kama North Korea iwa ambie wamarekani namna ya kuchagua kiongozi wa marekani. Kwa muono wako lakini.
 
Kenya, mtajikanyagakanyaga kwa maneno yote ila mkipigana wqkati huu wa uchaguzi 8/August, kwa mapanga katika awamu hii tutawaangalia ili mfe kwanza.
 
Nsema

Ulicho andika ni hekaya tu.
Wewe unaona kukatazwa kwa mikutano ya siasa. Huongelei kupunguza ufisadi rushwa uzembe kazini kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya biashara ya pembe za ndovu na faru wizi bandarini.
Please be balanced in opinion.
 
Kenya imekua miongoni mwa nchi bora kwenye upande wa democracy ukiachana na Ghana,na Nigeria. Kwa upande wa nchi zinazoendelea kusini mwa jangwa la sahara hakuna nchi inayoifikia kwa democracy yao. Democracy yao imechagizwa zaidi na katiba yao ambayo imeheshimiwa sana na utawala wa Jubilee kinyume na matarajio ya wengi.
Nimesema kinyume na matarajio ya wengi kwasababu utawala wa Jubilee ulikumbana na misukosuko hasa baada ya viongozi wake wakuu "Uhuru Kenyatta " na "Mh. William Rutto" kushitakiwa na mahakamani ya makosa ya jinai uhalifu wa kibinadamu huko The Hague Uholanzi.
Baada ya kesi zao kukosa nguvu hawa watawala wajitahidi kuimarisha democracy ya Kenya na kusisitiza amani na upendo kila wapandapo majukwaani.

Pia kuthibitisha utawala wa akina Uhuru na Rutto ulikuwa wa demokrasia kushinda wa Kibaki aliyempora ushindi Raila, na yule wa mzee Moi. wakati Yahya Jamey Rais wa zamani wa Gambia akigoma kuachia madaraka kwa Adam Barrow Rais wa sasa, Mh Kenyatta alisema yupo tayari kukabidhi madaraka iwapo atashindwa bila shida yoyote kitu ambacho ni nadra kusikia kutoka kwa viongozi nchi wanachama Africa Mashariki.

Siasa za Tanzania Kwasasa zimekandamiza upinzani.Mfano Tanzania chama cha upinzani hakiruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara na wananchi , kuna baadhi ya maeneo mfano maeneo kama Nyasa na chato Police waliwakamata viongozi wa chadema na wafuasi wao wakati wakifanya mkutano wao wa ndani.Kwa ufupi utawala wa Tanzania wa chama Tawala umekandamiza vyama vingine kufanya siasa huku wao wakifanya mikutano ya hadhara kwa mwamvuli wa ziara za viongozi wao.
Utawala wa Tanzania hasa Rais JPM anaurafiki na mmoja wa viongozi wakuu wa NASA, na utawala wa Tanzania Kwasasa unafanana na ule wa Kagame wa Rwanda.
JPM na Kagame ni marafiki na tangu uimarike Tanzania inapitia kwenye hali mbaya kisiasa hasa kukamatwa na kufungwa mahabusu wapinzani tu.

Tunaamini utawala wa NASA utairudisha nyuma sana Kenya kwenye democracy. Kwani kuwa na katiba bora ni suala mmoja ila kupata kuiheshimu ni busara za mtawala. Ukweli ni kuwa utawala wa NASA hsutatofautiana na wa JPM wa Tanzania kutokana na uswahiba wao.

Wakenya tufanye uamuzi sahihi kwani democracy ndiyo msingi wa maendeleo.
Mwisho Kenya bado IPO mbali kiuchumi na Tanzania haiwezi kuifikia. Utawala wa Tanzania umejikita kukamata akina Tundu Lissu, na Kumsaidia Lipumba ili chama cha Cuf kikose nguvu visiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani unaongea maneno matupu bila kufanya research. Utafiti wa mwaka 2016 kuhisu democracy index kenya iko nyuma ya Tanzania.

Hayo uliyoyandika ni kutoka kwenye kichwa chako hakuna utafiti wowote na mwisho wa siku ni ujinga na propaganda za kijinga
Soma hapa
Democracy Index - Wikipedia
 
Nsema

Ulicho andika ni hekaya tu.
Wewe unaona kukatazwa kwa mikutano ya siasa. Huongelei kupunguza ufisadi rushwa uzembe kazini kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya biashara ya pembe za ndovu na faru wizi bandarini.
Please be balanced in opinion.
Acha pumba kinachozungumzia ni Uhuru,Demokrasia,na Maendeleo kwa utawala wa huyu 'Myarwanda' hatutawafikia Kenya hata miaka elfu ijayo
Ukweli mchungu
 
Acha pumba kinachozungumzia ni Uhuru,Demokrasia,na Maendeleo kwa utawala wa huyu 'Myarwanda' hatutawafikia Kenya hata miaka elfu ijayo
Ukweli mchungu

Acha kikitoka povu.
Wewe unaweza linganisha democracy ya Kenya kwa Tanzania. Wewe huijui Kenya. Kule kuna wa Kenya na wenye Kenya. Kuna watu kule hata afanye kosa gani au aibe au afisidi nini hapelekwi lumande. Hiyo ni impunity.
Ona Tanzania sasa wote wako sawa mbele ya sheria.
 
Mtoa post usitafute mchawi.raila ni wakenya.na akishinda anaiongoza kenya.na uhuru pia akishinda ataiongoza kenya.magufuli na raila ni marafiki.lkn urafki wao ni binafsi.kenya na tanzania zina mahusiano toka raila na magufuli hawajakuwepo.kumbuka mwl nyerere alivyompigania mzee jomo kinyatta alipofungwa mpk akamtoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nsema

Ulicho andika ni hekaya tu.
Wewe unaona kukatazwa kwa mikutano ya siasa. Huongelei kupunguza ufisadi rushwa uzembe kazini kudhibiti biashara ya madawa ya kulevya biashara ya pembe za ndovu na faru wizi bandarini.
Please be balanced in opinion.
Wewe ndio unaandika usichokijua tunataka mafisadi waende mahakamani mbona hawapelekwi mfano mafisadi wa nyumba za serikari, uwazi katika kivuko ambacho kilinunuliwa na raising akiwa waziri wa ujenzi tena kivuko kibovu swala LA watumishi wasio na sifa mbona ameshindwa kumuondoa bashite ambae ni mkuu wa mkoa kwa kuforge vyeti kubwa zaidi ni dictator miaka miwili sasa hajaongeza niongeza yeyote wala vyeo kwa watumishi wa umma ambayo ongezeko na kupanda vyeo vyote vipo kisheria. Yaani uyu Mzee afai kabisa ata bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kikitoka povu.
Wewe unaweza linganisha democracy ya Kenya kwa Tanzania. Wewe huijui Kenya. Kule kuna wa Kenya na wenye Kenya. Kuna watu kule hata afanye kosa gani au aibe au afisidi nini hapelekwi lumande. Hiyo ni impunity.
Ona Tanzania sasa wote wako sawa mbele ya sheria.
Tuambie sheria gani yenye usawa Tanzania. Tuambie bsshite au mkuu wa mkoa wa dar kuvamia na kuteka clouz media alipelekwa wapi na waliotumwa na serikali kuharibu mkutano wa cuf na wengine walikamatwa walipelekwa WAP zaidi ya walio vamiwa kubadilishiwa kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio unaandika usichokijua tunataka mafisadi waende mahakamani mbona hawapelekwi mfano mafisadi wa nyumba za serikari, uwazi katika kivuko ambacho kilinunuliwa na raising akiwa waziri wa ujenzi tena kivuko kibovu swala LA watumishi wasio na sifa mbona ameshindwa kumuondoa bashite ambae ni mkuu wa mkoa kwa kuforge vyeti kubwa zaidi ni dictator miaka miwili sasa hajaongeza niongeza yeyote wala vyeo kwa watumishi wa umma ambayo ongezeko na kupanda vyeo vyote vipo kisheria. Yaani uyu Mzee afai kabisa ata bure.

Sent using Jamii Forums mobile app


Tuliza mihemuko. Hayo uliyoyataja ni tine katka mengi aliyoyafanya. Umesahau nyumba ni baraza la Mkapa ndilo lililopitisha kuuza. JPM alikuwa ni waziri tu asingeweza kupinga.
Kuhusu Bashite kwa nafasi yake anatakiwa kujua kusoma na kuandika.
Watumishi wanasubiri malimbikizo yao yatalipwa soon.
 
Tuliza mihemuko. Hayo uliyoyataja ni tine katka mengi aliyoyafanya. Umesahau nyumba ni baraza la Mkapa ndilo lililopitisha kuuza. JPM alikuwa ni waziri tu asingeweza kupinga.
Kuhusu Bashite kwa nafasi yake anatakiwa kujua kusoma na kuandika.
Watumishi wanasubiri malimbikizo yao yatalipwa soon.
Acha uongo Wewe katika MTU Asie aminika ni huyo jpm toka aliahidi miezi miwili baada ya kunyanganya madalaja mpaka Leo ayajarudi tena mwambie asiwe anaahidi bora afanye kimya kimya. Swala LA nyumba ata kama ni agizi ndio amuuzie mdogo wake na de.m..u wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom