Hivi Mtikila ni mwenyeji wa wapi?
hivi mtikila ni mwenyeji wa wapi?
alikula ile mboga ya majani ya asili ya kwao sasa ya leo mpishi alikolezea saana ikawa amevimbiwa/overdoseNadhani Mtikila kuna hitilafu mahali fulani kichwani. Wenzake wote wamesimama yeye tu amebaki amekaa wakati wa dua.
nikushukuru tu hiyo link mkuu, hivi hii ni leo tu au kila cku inapatikana online maana cjawahi kukutana nayo