Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Sitta kapata ushindi wa heshima kubwa sana matumaini yetu kuwa ataongoza kwa viwango.
 
Wabunge wa bunge la katiba, kura zinaharibika?,hawajui kusoma au?....
 
Mungu kasikia maombi ya watu wanyonge Tanzania.SITTA MKOMBOZI
 
Nadhani Mtikila kuna hitilafu mahali fulani kichwani. Wenzake wote wamesimama yeye tu amebaki amekaa wakati wa dua.
alikula ile mboga ya majani ya asili ya kwao sasa ya leo mpishi alikolezea saana ikawa amevimbiwa/overdose
 
nikushukuru tu hiyo link mkuu, hivi hii ni leo tu au kila cku inapatikana online maana cjawahi kukutana nayo

Pamoja mkuu,hapo ni kila siku hata sasa hivi angalia vipindi vyote
 
Hivi kikao cha leo sitta atakiendesha au mpaka aapishwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…