Nami matokeo ya njombe yananishangaza sana. watu wa njombe wanatuangusha. tuendelee kupata matokeo zaidi. wadau huko endeleeni kutuhabarisha kwa data haswa njombe magharibi kwa thomas nyimbo.
Kwa mzeee wa vijisent huko kwake anapita bila kupingwa hilo kwa wale wanyantuzu hawana tatizo nae kabisa na hao wamasai kumpitisha huyo mmeru hapo Monduli kama kawa yao