Yanayojiri Kombe la Mapinduzi Zanzibar: Simba na Taifa Jang'ombe

Yanayojiri Kombe la Mapinduzi Zanzibar: Simba na Taifa Jang'ombe

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Mechi Itachezwa Saa Mbili na Robo (2;15 saa za AM) Usiku wa Leo JUMATANO (7/01/2015) kwenye Uwanja wa Amaan

Mkolaj na Makoye watawaletea yanayojiri (Live Updates) kwenye mechi hiyo

kwa sasa naongozwa na hisia kwamba wachezaji wamejipumzisha na saa kumi na mbili watapa chakula cha jioni kabla na kutajiwa kikosi cha wanaonza kabla ya kuelekea uwanjani

Kamati za Ufundi ziko mahangaikoni (Busy) kuhakikisha mambo yanakwenda sawia...............

mechi imeisha, simba imesonga nusu fainali kwa mabao ya Ibrahim Hajib (3) na Kisiga 1
 
Mechi Itachezwa Saa Mbili na Robo (2;15 saa za AM) Usiku wa Leo JUMATANO (7/01/2015) kwenye Uwanja wa Amaan

Mkolaj na Makoye watawaletea yanayojiri (Live Updates) kwenye mechi hiyo

kwa sasa naongozwa na hisia kwamba wachezaji wamejipumzisha na saa kumi na mbili watapa chakula cha jioni kabla na kutajiwa kikosi cha wanaonza kabla ya kuelekea uwanjani

Kamati za Ufundi ziko mahangaikoni (Busy) kuhakikisha mambo yanakwenda sawia...............
Usijali mkuu Amavubi,
nawaambia members wote wawe karibu na tv station lakin mambo matamu yatakuwa hapa hapa jf.....
 
....mapemaaa tujichukulie point zetu 3 tayari kwa Nusu Fainali.
 
hivi simba akishinda leo na yanga akashinda kesho si zitakutana nusu fainali eeh?
 
Mechi Itachezwa Saa Mbili na Robo (2;15 saa za AM) Usiku wa Leo JUMATANO (7/01/2015) kwenye Uwanja wa Amaan

Mkolaj na Makoye watawaletea yanayojiri (Live Updates) kwenye mechi hiyo

kwa sasa naongozwa na hisia kwamba wachezaji wamejipumzisha na saa kumi na mbili watapa chakula cha jioni kabla na kutajiwa kikosi cha wanaonza kabla ya kuelekea uwanjani

Kamati za Ufundi ziko mahangaikoni (Busy) kuhakikisha mambo yanakwenda sawia...............

Mkuu leo umenifurahisha sana. Nakuhakikishia nitakuwa wima kuhakikisha kuwa updates zinatiririka hapa JF bila upendeleo wowote ule.

Ninapitia JF rules nione kama naweza kumfikisha mahakamani mkuu mmoja mbele ya Mh. Invisible. Mimi nitakuwa JF Prosecutor, karani ni Kitoabu, mashahidi ni sembo, PrN-kazi, mkolaj na BBA, vielelezo ni posts alizopost mkuu huyo (jina kapuni) na matokeo halisi ya mechi ya leo.
 
Last edited by a moderator:
hata yakiwa machungu kwako wewe tuletee tu
Usijali mkuu Amavubi,
nawaambia members wote wawe karibu na tv station lakin mambo matamu yatakuwa hapa hapa jf.....

 
hivi simba akishinda leo na yanga akashinda kesho si zitakutana nusu fainali eeh?
sio zitakutana zitakamilisha nusu fainali maana Yanga wanajijua .............................
 
najua wapi utakua positive na wapi utakia negative......................ila habarisha zote
Mkuu leo umenifurahisha sana. Nakuhakikishia nitakuwa wima kuhakikisha kuwa updates zinatiririka hapa JF bila upendeleo wowote ule.

Ninapitia JF rules nione kama naweza kumfikisha mahakamani mkuu mmoja mbele ya Mh. Invisible. Mimi nitakuwa JF Prosecutor, karani ni Kitoabu, mashahidi ni sembo, PrN-kazi, mkolaj na BBA, vielelezo ni posts alizopost mkuu huyo (jina kapuni) na matokeo halisi ya mechi ya leo.
 
umesahau ni pointi sita sio 3!!!! halafu fainali

Sasa hivi hakuna cha pointi tena ni 'mtoko' tu. Simba muwe makini na timu za Zanzibar, kuna uwezekano wa kupiga matuta ambayo hayana mwenyewe mnaweza kujikuta mkipanda fast ferry back to Dar hapo kesho.
 
hivi simba akishinda leo na yanga akashinda kesho si zitakutana nusu fainali eeh?

No, mshindi kati ya Yanga na JKU atakutana na Azam au Mtibwa. Simba/Taifa Jang'ombe atakutana na KCCA/Polisi. Uwezekano wa Simba kukutana na Yanga ni fainali endapo Simba atakomaa hadi mwisho.
 
hivi simba akishinda leo na yanga akashinda kesho si zitakutana nusu fainali eeh?

yanga akishinda anakutana na mshindi wa azam na mtibwa na simba tunakutana (maana tushashinda) na mshindi kati ya kcca na polisi.
 
katika siku mnazoomba tutok ni leo.................wandenhereko wansema kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi
Sasa hivi hakuna cha pointi tena ni 'mtoko' tu. Simba muwe makini na timu za Zanzibar, kuna uwezekano wa kupiga matuta ambayo hayana mwenyewe mnaweza kujikuta mkipanda fast ferry back to Dar hapo kesho.
 
Back
Top Bottom