alshabab hawajafika hapo?
kuna media yoyote wanaonesha hii game.? Niko mkoani jamani.?
nawatakia wajukuu zangu yanga ushindi mnono
Alshabab walikua wanataka maandamano tu? Mmhh kazzi tunayo
alshabab hawajafika hapo?
ha ha chelsea 2: arsenal 1,man 1 everton 0, alshabaab waleeee mbele yuko aden lageee naona anamnong'oneza mmoja wao.
kuna shabik wa yanga amekatza jukwaa la simba wamemtia kashkash hapa,nguo za njano alizo vaa ndo zmemletea matatzo
"Eeer.. Naona al shaabab ndio wanaingia uwanjani sasa, wakiwa wamejifunika nyuso zao ili wasitambulike huku wamebeba..eer.. nadhani ni maguruneti yale.. naona pia maroketi kadhaa.. Wanaelekea jukwaa la kushoto kule kujiandaa huku makofi mawili matatu yakisikika.. Eeer..ntaendelea kuwajulisha kinachojiri.."