Yanayojiri Kutoka uwanja wa taifa,

Kama kawaida,VIJANA WA MWEMA WANAANGALIA MPIRA!CJUI NDO UTARATIBU?
 
aden rage al shabaab hana bunduki jamani kumbukeni akaguliwe
 
Simba wanakosa goli la 1,uzembe wa wachezaj we2 az usual
 
Mmekosa kazi ya kufanya kwa kufatilia soka la bongo.
 
Mmekosa kazi ya kufanya kwa kufatilia soka la bongo.

Mpwa hivi huna mapepo kweli? Ww si ndio yule yule unaisifia bongo? mmh hii nayo ni alama ya mnafiki, leo CCM nzuri ila soka la bongo No!!! Kaazi kweli kweli!
 
Mpwa hivi huna mapepo kweli? Ww si ndio yule yule unaisifia bongo? mmh hii nayo ni alama ya mnafiki, leo CCM nzuri ila soka la bongo No!!! Kaazi kweli kweli!

soka la bongo lina uhusiano gani na ccm.
 
Kuala kichwa hicho,hahaaaaaaaaaaaaa.............................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…