N Nkaka Senior Member Joined Apr 7, 2014 Posts 108 Reaction score 16 Jun 14, 2014 #41 Walifikir wanapungza migomo vyuon sasa miaka ijayo tutegemee wasomi wagonjwa na wasifaa kwenye ndoa
D duanzi JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 16,428 Reaction score 218 Jun 14, 2014 #42 jkt bora ifutwe tu. haina faida
D duanzi JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 16,428 Reaction score 218 Jun 14, 2014 #43 jkt ni janga
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Jun 15, 2014 #44 Hivi ni kweli kwamba ukipitia jkt unakuwa mzalendo,hahahaaaaa maana najaribu kuringanisha mazee yaliyopita jakata enzi hizo ambayo sasa ni maviongozi taasisi mbali mbali duh COMFUSED.
Hivi ni kweli kwamba ukipitia jkt unakuwa mzalendo,hahahaaaaa maana najaribu kuringanisha mazee yaliyopita jakata enzi hizo ambayo sasa ni maviongozi taasisi mbali mbali duh COMFUSED.