Yanayojiri kwenye mapokezi ya Rais wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera nchini Tanzania

Yanayojiri kwenye mapokezi ya Rais wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera nchini Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191

2.jpg
1.jpg
3.jpg

 
Hapa nimevuta hisia kali sana kwenye hili suala
 
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amewasili JNIA na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Magufuli.
Tukio liko mubashara tv zote nchini.

Up dates;
 
Siasa we acha tu.. tupo kwenye mchakamchaka wa uchanguzi na campagn zimepamba moto. Huyu anakuja sijui Kuzindua nini.. Na mimi Nimevuta Hisia Kwa hili Jambo kama John the bapatist.
 
Back
Top Bottom