Yanayojiri mpambano wa kuwania Uenyekiti CHADEMA Taifa

Yanayojiri mpambano wa kuwania Uenyekiti CHADEMA Taifa

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Habari.

Uzi huu uwe mwendelezo wa kila kinachojiri katika mpambano huu wa kukata na shoka.

Siku ya kesho December 21 kuanzia saa 5 asubuhi Mdude CHADEMA kuongea n vyombo vya habari.

Dec 21 kuanzia saa 5 asubuhi Mwenyekit wa CHADEMA taifa mh. Freeman Mbowe kutangaza hatma yake.

Lakini kesho hiyo hiyo wajumbe wa mkutano mkuu kutoka majimbo 7 ya mkoa wa Iringa pia kuzungumza na vyombo vya habari kuanzia saa 5 asubuhi.
 
Hakuchi Hakuchi hatimaye kunakucha. Tutaona yaliyomo kama yamo.
 
Atangaza kugombea,na hao wa iringa wanatangaza kuumunga mkono mbowe
 
Back
Top Bottom