Mshahara????Katika hali isiyo ya kawaida, baada ya Sinza kupoa kwa muda mrefu kidogo sasa jioni hii katika hali ya kuashiria mishahara imeshatoka.
Nilichojifunza, sasa Hivi asilimia kubwa ya watumishi wameegemea kwenye mishahara.
Cha pili, usumbufu Huu ni wa wiki hii tu, kuanzia wiki ijayo Amani inarudi.
Namba inasomeka.
acha woga wewechezea mshahara...!!
usichezee kazi!
πππCha pili, usumbufu Huu ni wa wiki hii tu, kuanzia wiki ijayo Amani inarudi.
yeah serikalinihivi kumbe kuna watu wanapata mshahara before 25th
bas acha watumbue ila week ijayo tutaheshimianayeah serikalini
[emoji1] [emoji1] [emoji1]bas acha watumbue ila week ijayo tutaheshimiana
Lets be frank, tunawekeza kwenye miradi mbali mbali ili tupate pesa tustarehe, sasa waache waliopata pesa kwenye miradi yao wastarehe, huu ni muda wao. Na wewe anzisha mradi hata wa matikiti, ukivuna unaweza tenga walau 5% ya faida kwenye starehe, its good for youHalafu hao jamaa siku wakisitishiwa ajira waanze kulalamika hali mby wkt pesa waliwekeza kwenye pombe na anasa
Mmesha mlipa Shigongo na wafanyakazi wa Uhuru Media?Wewe mleta mada unafikili mlivyofulia hapo ufipa, ndio kila sehemu watu wamefulia??
Hama ufipa akili yako itafunguka