joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Amani tafsiri yake ni ipi kama kila anayesema ukweli anapigwa risasi na kuuliwa?, huo ni utulivu lakini Kenya hakuna amaniWakinukishe tu, akili zao wanazielewa wenyewe na NRM yao.
Kenya ni kinara wa demokrasia Africa. Wanayo katiba bora kabisa duniani.
Watu hakuna vituoni hadi muda huu
No Erection kwani wakenya hawadindishi?No erection.
Kwa data zipi au unafurahisha mdomo na mkono kuandika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kenya ni kinara wa demokrasia Africa. Wanayo katiba bora kabisa duniani.
Amani tafsiri yake ni ipi kama kila anayesema ukweli anapigwa risasi na kuuliwa?, huo ni utulivu lakini Kenya hakuna amani
Hujawasikia wakenya wakisema hivyo au unaishi vichakani?Kwa data zipi au unafurahisha mdomo na mkono kuandika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huwa nashangaa MACCM mnavyo onekana kujali sana kuhusu demokrasia ya Kenya na kujifanya watetezi ilhali huko kwenu madudu, mumekandamiza upinzani. Huku tunamuuguza jamaa wenu mliyempiga risasi 38 kisa anahoji, mara taarifa za miili 15 kwenu inapatika kwenye viroba inaelea kwenye fukwe, Maiti 15 Zaopolewa Zikiwa Kwenye Viroba - Global Publishers
Yaani matukio mengi ya kiajabu na mauaji ya kimya kimya lakini unatumia nguvu nyingi kukesha huku ukihangaika kuongea kuhusu matukio ya Kenya na kujifanya mwanademokrasia. Kwenu hata kiongozi wa upinzani kuhutubia watu watano tu kosa la jinai, Raila angekua hapo kwenu mngekua mshamnyofoa mapum.bu
Ni kweli kabisa suala la Lisu serikali haiwezi kukwepa lawama, ila maiti zinazookotwa baharini, hadi leo hakuna familia wala mtu yeyote aliyejitokeza kupotelewa na ndugu yake, dalili zinaonyesha kwamba maiti ni za wakimbizi wa ethiopia wambao huwa wanafungiwa kwenye containers wakisafirishwa kwenda South Africa, siku za nyuma maiti nyingi zilikuwa zinaokotwa porini, lakini siku hizi hakuna tena maiti zinazookotwa porini ila bado wanakamatwa kwa wingi mipakani.Huwa nashangaa MACCM mnavyo onekana kujali sana kuhusu demokrasia ya Kenya na kujifanya watetezi ilhali huko kwenu madudu, mumekandamiza upinzani. Huku tunamuuguza jamaa wenu mliyempiga risasi 38 kisa anahoji, mara taarifa za miili 15 kwenu inapatika kwenye viroba inaelea kwenye fukwe, Maiti 15 Zaopolewa Zikiwa Kwenye Viroba - Global Publishers
Yaani matukio mengi ya kiajabu na mauaji ya kimya kimya lakini unatumia nguvu nyingi kukesha huku ukihangaika kuongea kuhusu matukio ya Kenya na kujifanya mwanademokrasia. Kwenu hata kiongozi wa upinzani kuhutubia watu watano tu kosa la jinai, Raila angekua hapo kwenu mngekua mshamnyofoa mapum.bu
Bado hapa home 2020
$wissme
Kweli mkuuBado hapa home 2020
$wissme
Bado unakataa ukweli kwamba Kenya mnauwa watu wengi bila sababu za msingi, na hili jambo la kuua watu halijaanza leo, ni tangu enzi za mzee Jommo Kenyatta na linaendelea hadi leo, la ajabu linaanza kuzoeleka katika jamii ya Kenya, juzi father kule Kisumu ameuliwa, no one talks about him, ingekuwa Tanzania makelele yake yasingewezekana kwa sababu hayo ni mambo mageni huku.Huko hamuwezi huu mtiti, hebu niambie kama Lowassa au Mbowe athubutu kufanya anayoyafanya Odinga, atanyofolewa maken.de na viungo kama albino. Huko muendelee kuishi hivyo labda mtaokolewa siku ya kiama.