Yanayomaliza na yanayoongeza nguvu za kiume

Yanayomaliza na yanayoongeza nguvu za kiume

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
2,660
Reaction score
3,501
Mada pendwa kwa wanaume!
Hebu tujikumbushe yale yote tuliyowahi kusikia, kuona, kusoma au hata kuexperience kuwa yanachangia katika nguvu za kiume kuongezeka au kupungua. Nitataja randomly baadhi ya magonjwa, kazi, mazoezi, tabia, vyakula na vinywaji

Kula chips- weka za kushiba na kila kitu weka ndani yake (inapunguza)

Kula karanga (inaongeza)
Kula chainizi (inapunguza)
Kula nazi (inaongeza)
Kula mihogo- wanafunzi oyee (inaongeza)

Kula ndimu ya unga -wazee wa supu, ndimu imebaki hii ya unga nikuletee? (inapunguza)
Kula junk food- wazee wa pizza na badger - wale wa kila siku "...kata keki tule..." (inapunguza)
Kukosa usingizi -unajidai uko bize kuzichanga hutaki kulala masaa 8 (inapunguza)
Kisukari (kinapunguza)
Unene -vitambi na mabonge nyanya (inapunguza)
Kazi ngumu- Mola tunusuru tu maana...(inapunguza)
Mazoezi magumu- sanaa za ngumi na kutunisha misuli- wazee wa kubeba vyuma mpo...!? (yanapunguza)
Ngiri- siyo mnyama ni ugonjwa huo (inapunguza)
Kula maharage ya soya (inapunguza)
Supu ya pweza (inaongeza)
Kujichua- punyeto (inapunguza)
Kuangalia video/picha za ngono (inapunguza)
Pombe (inapunguza)
Kuchuchumaa -kichurachura nk -usiniulize chooni(inapunguza)
Mawazo-msongo (inapunguza)

Orodha ni ndefu kweli kweli nimechoka hata kuandika acha nijikimbushie ule wimbo
"Wanaume tumeumbwa mateso, mateso..."
 
Mada pendwa kwa wanaume!
Hebu tujikumbushe yale yote tuliyowahi kusikia, kuona, kusoma au hata kuexperience kuwa yanachangia katika nguvu za kiume kuongezeka au kupungua. Nitataja randomly baadhi ya magonjwa, kazi, mazoezi, tabia, vyakula na vinywaji

Kula chips- weka za kushiba na kila kitu weka ndani yake (inapunguza)
Kula karanga (inaongeza)
Kula chainizi (inapunguza)
Kula nazi (inaongeza)
Kula mihogo- wanafunzi oyee (inaongeza)
Kula ndimu ya unga -wazee wa supu, ndimu imebaki hii ya unga nikuletee? (inapunguza)
Kula junk food- wazee wa pizza na badger - wale wa kila siku "...kata keki tule..." (inapunguza)
Kukosa usingizi -unajidai uko bize kuzichanga hutaki kulala masaa 8 (inapunguza)
Kisukari (kinapunguza)
Unene -vitambi na mabonge nyanya (inapunguza)
Kazi ngumu- Mola tunusuru tu maana...(inapunguza)
Mazoezi magumu- sanaa za ngumi na kutunisha misuli- wazee wa kubeba vyuma mpo...!? (yanapunguza)
Ngiri- siyo mnyama ni ugonjwa huo (inapunguza)
Kula maharage ya soya (inapunguza)
Supu ya pweza (inaongeza)
Kujichua- punyeto (inapunguza)
Kuangalia video/picha za ngono (inapunguza)
Pombe (inapunguza)
Kuchuchumaa -kichurachura nk -usiniulize chooni(inapunguza)
Mawazo-msongo (inapunguza)

Orodha ni ndefu kweli kweli nimechoka hata kuandika acha nijikimbushie ule wimbo
"Wanaume tumeumbwa mateso, mateso..."
Mazoezi na Chinese Mboga Mboga inapunguza?Kivipi!
 
Mada pendwa kwa wanaume!
Hebu tujikumbushe yale yote tuliyowahi kusikia, kuona, kusoma au hata kuexperience kuwa yanachangia katika nguvu za kiume kuongezeka au kupungua. Nitataja randomly baadhi ya magonjwa, kazi, mazoezi, tabia, vyakula na vinywaji

Kula chips- weka za kushiba na kila kitu weka ndani yake (inapunguza)
Kula karanga (inaongeza)
Kula chainizi (inapunguza)
Kula nazi (inaongeza)
Kula mihogo- wanafunzi oyee (inaongeza)
Kula ndimu ya unga -wazee wa supu, ndimu imebaki hii ya unga nikuletee? (inapunguza)
Kula junk food- wazee wa pizza na badger - wale wa kila siku "...kata keki tule..." (inapunguza)
Kukosa usingizi -unajidai uko bize kuzichanga hutaki kulala masaa 8 (inapunguza)
Kisukari (kinapunguza)
Unene -vitambi na mabonge nyanya (inapunguza)
Kazi ngumu- Mola tunusuru tu maana...(inapunguza)
Mazoezi magumu- sanaa za ngumi na kutunisha misuli- wazee wa kubeba vyuma mpo...!? (yanapunguza)
Ngiri- siyo mnyama ni ugonjwa huo (inapunguza)
Kula maharage ya soya (inapunguza)
Supu ya pweza (inaongeza)
Kujichua- punyeto (inapunguza)
Kuangalia video/picha za ngono (inapunguza)
Pombe (inapunguza)
Kuchuchumaa -kichurachura nk -usiniulize chooni(inapunguza)
Mawazo-msongo (inapunguza)

Orodha ni ndefu kweli kweli nimechoka hata kuandika acha nijikimbushie ule wimbo
"Wanaume tumeumbwa mateso, mateso..."
Total rubbish
 
Sielewi hata
Hayo yote kama nilivyosema ni kutoka vyanzo mbalimbali, jazia list
Sio kweli mkuu kwenye mbogamboga na mazoezi,Tena mazoezi wanahimiza ya kergel ndio shughuli kitandani,NAMI ni shahidi naitwa injini!
 
Ungetaja na mechanisim ya kuongeza au kupunguza siyo kuishia kusema chips zinapunguza au chinise how? Au nazi ionaongeza how?
 
Mada pendwa kwa wanaume!
Hebu tujikumbushe yale yote tuliyowahi kusikia, kuona, kusoma au hata kuexperience kuwa yanachangia katika nguvu za kiume kuongezeka au kupungua. Nitataja randomly baadhi ya magonjwa, kazi, mazoezi, tabia, vyakula na vinywaji

Kula chips- weka za kushiba na kila kitu weka ndani yake (inapunguza)

Kula karanga (inaongeza)
Kula chainizi (inapunguza)
Kula nazi (inaongeza)
Kula mihogo- wanafunzi oyee (inaongeza)

Kula ndimu ya unga -wazee wa supu, ndimu imebaki hii ya unga nikuletee? (inapunguza)
Kula junk food- wazee wa pizza na badger - wale wa kila siku "...kata keki tule..." (inapunguza)
Kukosa usingizi -unajidai uko bize kuzichanga hutaki kulala masaa 8 (inapunguza)
Kisukari (kinapunguza)
Unene -vitambi na mabonge nyanya (inapunguza)
Kazi ngumu- Mola tunusuru tu maana...(inapunguza)
Mazoezi magumu- sanaa za ngumi na kutunisha misuli- wazee wa kubeba vyuma mpo...!? (yanapunguza)
Ngiri- siyo mnyama ni ugonjwa huo (inapunguza)
Kula maharage ya soya (inapunguza)
Supu ya pweza (inaongeza)
Kujichua- punyeto (inapunguza)
Kuangalia video/picha za ngono (inapunguza)
Pombe (inapunguza)
Kuchuchumaa -kichurachura nk -usiniulize chooni(inapunguza)
Mawazo-msongo (inapunguza)

Orodha ni ndefu kweli kweli nimechoka hata kuandika acha nijikimbushie ule wimbo
"Wanaume tumeumbwa mateso, mateso..."
Kukosa fedha, inapunguza
 
Back
Top Bottom