Wanakwambia karogwa saaa UK atapata mganga wa kupiga manyanga amuagueKwamba hata kama 'network' yake inayumba Tanzania ndiyo kuna doctors na medical facilities bora kuliko England? Kurudi TZ si suluhisho tena itakuwa ndiyo anazidi kujididimiza, bora apambanie afya yake(mental or physical or both) akiwa hukohuko.
Nilijua nikikwambia unionyeshe ni wapi pamekufanya unione nina ugonjwa wa akili nitakuwa nina kuonea. Uwezo wako ndio umeishia hapo.Hakunaga mgonjwa wa akili anayekubali kuwa ana tatizo
Lakini maelezo yako tu yanaonyesha hauko sawa,tafuta tiba jomba
Angalia haya maswali ya kijinga.Kabisa
Kwa mfano hapo mtu anaweza kumuuliza mara ya mwisho kutia ni lini. 🙃🙃🙂
Wewe pia ni kiazi hauna uwezo wa kuchangia mambo ya maana.Wanakwambia karogwa saaa UK atapata mganga wa kupiga manyanga amuague
Sawa chizi freshWewe pia ni kiazi hauna uwezo wa kuchangia mambo ya maana.
Wewe ni kiazi. Hapo ndio mwisho wa upeo wakoSawa chizi fresh
Mimi na wewe wote tuna tatizo la akiliUme assume mimi ni DOGO! Na kila nikikusoma sio iko tu unacho assume. Labda tatizo lako linatoka na uwezo wako wa akili.
Kuna miaka ya nyuma hapa JF watu walikuwa wanashusha nondo sana. Kama mtu akikuita chizi anatoa sababu kwa nini amesema hivyo. Those days are long gone.Mimi na wewe wote tuna tatizo la akili
Naomba niambie. Kadiri ya maelezo yako mwenyewe, wewe ni mgonjwa wa akili unahitaji matibabu ndugu yangu.Nikikwambia u elaborate unachosema. Hauta rudi manake ndio mwisho wa uwezo wa akili yako.
Rudi kwenu katibiweKusema docta ameandika mambo ya uongo kwenye report. Hii ipo kwenye makaratasi. Sio nina jisemea tu na nilipo ongea nae kwenye simu alisema atabadilisha. Lakini nikamjukisha kwa ni file malalamiko kwa sababu asingeandika mambo ya uongo.
Kuna watu walishanionya kuhusu kuendelea kulala electrical shock-like. Jamaa akawa anionya nitapoteza maisha nikijifanya mjuhaji na mwingine nikwambia siogopi nikaendelea kulalamika akakimbia.
Matibabu yoyote utakayo pata NHS ndio hayo hayo utakayo pata Harley Street. Ma doctor asilimia kubwa ni hao hao wanaenda kufanya private extra hours.
Tofauti ni muda. NHS utakuwa kwenye waiting list kwa muda mferu. Ukienda A&E utachomeshwa mahindi masaa kadhaa kabla ujamwona doctor. Hiki ndio wanachoepuka wenye pesa wanaona bora waende private na wapate huduma haraka haraka kuepuka karaha za kusubiri.
Mimi nilishawahi kwenda clinic moja Harley Street miaka kama 17 iliyopita. Kifaa walichotaka kuniuzia kipindi iko nadhani ilikuwa kama £3000. Sasa hivi kifaa iko iko unapata Ebay sio zaidi ya £200
Ushafaham 😗Angalia haya maswali ya kijinga.
You will be fine. Ukija nenda moja kwa moja Mirembe ukatibiwe.Ubishi wangu ni upi. Doctor kwenye report yake kanilisha maneno. Halafu mimi nikubali kwa sababu ya kuonekana mbishi.
Wewe utakuja kuliwa kwa kuogopa kuoneka mbishi.
Kwa vyovyote vile wewe utakuwa na ugonjwa mkubwa wa akili (schizophrenia), maelezo yako yanaakisi hilo. Kwa mfano;Niliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.
Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.
HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.
Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.
Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.
KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.
Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.
Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.
For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.
LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.
Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.
Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.
Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia
Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka animalize.
Hata kwenye the telegraph wame mention kuhusu ku falsifying information na pia ku hire private investigator
Link: NHS bosses destroy careers of whistleblowers who stand up to protect patients’ lives
View attachment 3106830
View attachment 3106844
Na pia the Guardian and wamegusia kuhusu Cover -up ndani ya NHS.
Link: As a doctor, I’m no apologist for Wes Streeting – but here's where he's right about the NHS | Rachel Clarke
View attachment 3106838
Wewe ni baadhi ya viazi mliojazwa hapa. Mpeo wenu wa akili unaishia kurudia mambo kama kasuku.Rudi kwenu katibiwe
Hauna uwezo wa kujenga hoja wewe mpuuzi!You will be fine. Ukija nenda moja kwa moja Mirembe ukatibiwe.
Malizia hadithi basiWewe ni baadhi ya viazi mliojazwa hapa. Mpeo wenu wa akili unaishia kurudia mambo kama kasuku.
Wewe kubali. Hauna uwezo wa kujenga hojaMalizia hadithi basi
Mbona unakuwa mkali
Jibu hoja zako tu
Umeleta hadithi lazima ukutane na maswali na pia majibu
Usikasirike kwani unatafuta sympathy humu au
Ulitaka upewe pole nyingi au
Dr Shika story yake ilikuwa kweli
😄😄 wewe mpuuzi hakuna mtu wa kukuonea huruma hapa.Hauna uwezo wa kujenga hoja wewe mpuuzi!
Afadhali hata wewe umejenga hoja. Nina heshimu mchango wako.Lakini mbona umeruka kilichonifanya kufungua hii thread.Kwa vyovyote vile wewe utakuwa na ugonjwa mkubwa wa akili (schizophrenia), maelezo yako yanaakisi hilo. Kwa mfano;
1. Kuhisi watu wengi wanaokuzunguka ni maadui zako na wameungana dhidi yake.
Sijui una refer kipi. Lakini nina amini mawasiliano yangu yanakuwa monitor bila idhini yangu. Kwa hili nina achia muda kuwa judge.2. Kuhisi kuna namna mazingira yako yanajihusisha kukudhuru.
Kufuatiliwa ndio mfano huu. Hapo ni kwenye picha nilikuwa nimekaa Mcdonalds. Gari ya Polisi ikaja ikawa ime pack nje. Yaani pale nilipokuwa nimekaa na wao walkpokuwa wamepaki gari mara ya kwanza, kuna ubao ulikuwa una block view ya wao kiniona. Wakazogeza gari upande wa kushoto kwangu ambapo wangeweza kuniona. Wakabaki kwenye gari muda wote niliokuwa nimekaa Mcdonalds.3. Kuhisi watu fulani fulani wanakufuatilia kwa nia ovu dhidi yako.
Hii ambayo nina jisikia kama electrical shock kwenye mwili ilianza mwaka jana. Na muda unavyokwenda nina sikia kwa nguvu zaidi. Hii kama sharp needle pain hai tokei mara nyingi kama hiyo electrical shock. Hii siwezi kutoa ushahidi wowote zaidi ya kusema ninavyojisikia. It is what it is! Na ndio imechangia kwa asilimia kubwa ya decision yangu ya kurudi Tanzania kwa sababu they are affecting my well-being.4. Kujisikia vitu visivyo vya kawaida vinakuchoma choma na wewe kuvitengenezea nadharia isiyoweza kuaminiwa.
Niambie nimwone dokta kwa lipi.Ni vyema ukamuona Daktari wa magonjwa ya akili tu.