Yanayonikuta London, Uingereza - Part 2

Plausible deniability.

Thorough investigation ops is still underway, the whole operation plan will be publicised to the public.
Nothing will be left undisclosed.
I would like to reiterate, Im not the person you think I am.
Among other things, I am a guy:
-whose human rights have been constantly violated,
-who has been subjected to constant bullying,
-whose data protection rights have been violated,
-who is a victim of incorrect beliefs.

But, I am looking forward to read the report that you mentioned will be made public.
 
Swala langu hao walio nyuma yake wanajua wanachofanya ni ukihukaji wa haki za binadamu ndio maana wanajificha, hawaweki mambo wazi.
 
Kwanini iwe wewe tu? Kwan london nzima uko wewe tu mkuu mpaka wakuandame namna hiyo??
Jaribu kuhama bas sogea mahala pengine au nchi nyingine
Sina jibu la uhakika kwa nini ni mimi?
Hii imenifanya kuhisi mambo mengi. Moja wapo, labda ni kilichokuwa kinaendelea wakati nina fanya kazi hospitali ambacho kilinifanya ku resign. Nadhani hii ndio inaweza kuwa chanzo cha haya ninayopitia. Na hasa baada ya huyu doctor kuandika uongo kwenye report.
 
Pole sana mkuu dahh!!.. Haiwezekani kuja kufanyia kazi homeland au sehemu nyingine??? Why you then???

Wasije kukutoa roho huko!


"Go East go west home is best"



Cc Smart911
Ni kweli kabisa. Huo msemo sasa hivi si uchukulii kimzaha mzaha.
Uzalendo wangu sasa hivi hauna kipimo
 

Kwa Data ambazo tayari zimekusanywa hadi Sasa, and basing on the theory of Balance of Probabilities, it is highly probable that you are by the one among of the agents or operatives that involved in the illicit clandestine operations. Is it surely true that you don't know someone (alleged masterminder) whose name starts with Alexander? And his full names are ADM? Is it???
 
Alexander is a common name.
Your comment seems kinda fake
 
Conspiracy mission at work, aleksanda mak.hachila agent for dissemination of the mission. Tactical response
 
Wewe bado haujashituka, hiyo story no Conspiracy iliyoletwa makusudi hapa mtandaoni kwa lengo maalumu. Ukiwa na 'macho manne' unaweza kugundua haraka sana. Hii story ni Conspiracy, huyu mtu hayupo London kama alivyoeleza, kwa mujibu wa taarifa za uhakika zilizopatikana ni kwamba huyo mtu yupo ndani ya mipaka ya Tanzania, hususani katika mikoa ya Dsm, Morogoro na Dodoma. Hii story ni Kama ile ya Dark days 17/3/20........ ambayo ipo humu mtandaoni (JF)
 
Asante sana
Nimekuelewa
 
mmh.... .. mtihani huu tena mweusi fiii....., ukirudi Tz utakuwa na uwezo wa kwenda tena uk? ... maaana huku kuna mawili kuongeza matatizo au kuounguza!... .. una asset tz au asset ndio hao ndugu zako?
Matatizo haya yanawakuta wengi .. wanaishi kwa kuhaunt uk, ..kama una uwezekano wowote wa kuondoka hapo .. ondoka nenda mbali na hapo... inawezekana kuna ya zaidi unayajua hujayaeleza hapa.. .. sisi tuna coment ulichoeleza tu !
mkuu.. labda ni kwa sababu kuna vitu unajua kuhusu wao ambavyo hukutakiwa ujue ndio maana wanakuandama.. ..au unaongea sana ..., kama sio schz inaanza, au kuna jambo hujasema bado..maana maelezo yako hayajakaa sawa kiasi cha kufanya iwe ngumu hata kushauri kitaalam!
NB.
wengi waliokwenda nje wakakaa miaka huko bila kubahatika kuwekeza .. ..wanapatwa na mikasa mingi sana na hawana maisha mazuri.., kuna waloishi karibu miaka 45 huko lkn wanashindwa kurudi hawana pasport .. ..wanateseka mno!
matokeo yake wana end up like this.. ..
nikuulize.. ..ukirudi nyumbani, utakuwa na uwezo tena wa kurudi huko? ... kama sivyo ni bora uhame mji tu..ukatafute tiba ,hapo hapakufai tena.. ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…