Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
- Thread starter
-
- #221
I would like to reiterate, Im not the person you think I am.Plausible deniability.
Thorough investigation ops is still underway, the whole operation plan will be publicised to the public.
Nothing will be left undisclosed.
Nimeipenda hiyo 🙏🏾🙏🏾Vunga Kaka ndiyo maana Mimi na yeye tushapanga kusaidizana hapo jumamosi nitakapo mrejesha hapa nyumbani specifically kaskazini .
Asante sana Mkuu. Nimeshapa Pass ya kusafiri. Lakini next week kuna mambo nina taka kwanza kupata majibu nikiwa hapa. God bless uVipi rafiki ? Ushajiweka tayari kwa safari ?njiani Sasa kukuchukua mkuu wangu
Swala langu hao walio nyuma yake wanajua wanachofanya ni ukihukaji wa haki za binadamu ndio maana wanajificha, hawaweki mambo wazi.Mmmhh! No.
Mkasa wa jambo hili umekuwa ukifuatiliwa kwa karibu zaidi tangu muda mrefu Sana. Tayari taarifa za kutosha zimepatikana, kazi Kama tayari imeahafikia hatua Kama ya 90% hivi.
So, I can't buy your idea.
Endapo kama ningekufahamu wewe binafsi japo kwa 50% tu, ningekutumia sehemu ya taarifa ili ujionee wewe mwenyewe na ili upate kufahamu sababu za kwa nini Mimi nimekuwa niki-respond kwa namna hiyo ninayo-respond.
Sina jibu la uhakika kwa nini ni mimi?Kwanini iwe wewe tu? Kwan london nzima uko wewe tu mkuu mpaka wakuandame namna hiyo??
Jaribu kuhama bas sogea mahala pengine au nchi nyingine
AsanteBinafsi nimeelewa sana ulicho kiandika kwamtu anae kurupuka hawezi kukuelewa.
Ngoja badae kidogo nintakuja kwaushauli wangu pia.
I would like to reiterate, Im not the person you think I am.
Among other things, I am a guy:
-whose human rights have been constantly violated,
-who has been subjected to constant bullying,
-whose data protection rights have been violated,
-who is a victim of incorrect beliefs.
But, I am looking forward to read the report that you mentioned will be made public.
Alexander is a common name.Kwa Data ambazo tayari zimekusanywa hadi Sasa, and basing on the theory of Balance of Probabilities, it is highly probable that you are by the one among of the agents or operatives that involved in the illicit clandestine operations. Is it surely true that you don't know someone (alleged masterminder) whose name starts with Alexander? And his full names are ADM? Is it???
Conspiracy mission at work, aleksanda mak.hachila agent for dissemination of the mission. Tactical responseNiliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.
Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.
HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.
Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.
Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.
KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.
Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.
Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.
For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.
LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.
Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.
Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.
Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia
Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka animalize.
Hata kwenye the telegraph wame mention kuhusu ku falsifying information na pia ku hire private investigator
Link: NHS bosses destroy careers of whistleblowers who stand up to protect patients’ lives
View attachment 3106830
View attachment 3106844
Na pia the Guardian and wamegusia kuhusu Cover -up ndani ya NHS.
Link: As a doctor, I’m no apologist for Wes Streeting – but here's where he's right about the NHS | Rachel Clarke
View attachment 3106838
Wewe bado haujashituka, hiyo story no Conspiracy iliyoletwa makusudi hapa mtandaoni kwa lengo maalumu. Ukiwa na 'macho manne' unaweza kugundua haraka sana. Hii story ni Conspiracy, huyu mtu hayupo London kama alivyoeleza, kwa mujibu wa taarifa za uhakika zilizopatikana ni kwamba huyo mtu yupo ndani ya mipaka ya Tanzania, hususani katika mikoa ya Dsm, Morogoro na Dodoma. Hii story ni Kama ile ya Dark days 17/3/20........ ambayo ipo humu mtandaoni (JF)Ninamaanisha kutibiwa na hata kazi
Najua jamaa zangu wengi na watoto wetu wakifanya kazi hospital za 🇬🇧
Kuanzia Dr's mpaka nurses na hata alienipima last week na kuniingiza kwenye scan alikuwa msomali msichana
Nawajua wengi sana hospital za london na hawana tatizo
Wewe ni mgonjwa unahitaji matibabu mkuu
Hakuna ubaguzi kazini ila wewe unavyojiweka
Nimekaa mwaka wa 34 london sijapata matatizo nao
Nimesimamishwa na polisi mara moja tu maishani
Sasa nashangaa tuhuma zote mara unatumiwa mionzi
Kama ni shushushu na umewasaliti wangekumaliza zamani
Unaumwa ila akili inakuambia mengine
Nenda Hospitali ukatibiwe
Hospital za London zimejaa watu weusi na wana furaha na kazi zao au nikutajie ukazione?
Asante sanaWewe bado haujashituka, hiyo story no Conspiracy iliyoletwa makusudi hapa mtandaoni kwa lengo maalumu. Ukiwa na 'macho manne' unaweza kugundua haraka sana. Hii story ni Conspiracy, huyu mtu hayupo London kama alivyoeleza, kwa mujibu wa taarifa za uhakika zilizopatikana ni kwamba huyo mtu yupo ndani ya mipaka ya Tanzania, hususani katika mikoa ya Dsm, Morogoro na Dodoma. Hii story ni Kama ile ya Dark days 17/3/20........ ambayo ipo humu mtandaoni (JF)
mmh.... .. mtihani huu tena mweusi fiii....., ukirudi Tz utakuwa na uwezo wa kwenda tena uk? ... maaana huku kuna mawili kuongeza matatizo au kuounguza!... .. una asset tz au asset ndio hao ndugu zako?Mimi kutochukua passport ya hapa. Nikiangalia kwa jinsi mambo yalivyo naona ina msaada mkubwa sana kwangu. Ningekuwa raia wa hapa wange ninyanyasa ki sawa sawa. Lakini kuna mambo hawawezi bila kuihusisha Tanzania na pia wanajua saa yoyote ninaweza kuondoka kirahisi.
mkuu.. labda ni kwa sababu kuna vitu unajua kuhusu wao ambavyo hukutakiwa ujue ndio maana wanakuandama.. ..au unaongea sana ..., kama sio schz inaanza, au kuna jambo hujasema bado..maana maelezo yako hayajakaa sawa kiasi cha kufanya iwe ngumu hata kushauri kitaalam!Mkuu kuna siku nitaandika kwa undani yote. Kifanya hivyo sasa hivi kuna mambo mengine watu wanaweza kuona ni matatizo ya akili.
Hii kupata kama electrical shocks au sharp needle pain ni rahisi watu wengi kudikiria ni matatizo ya afya ya akili au kama ilo ulilosema hapo juu. Lakini kwangu mimi hii inahuhusiano na bullying. Ila kwa sasa hivi siwezi kusema zaidi ya hapo.
Incorrect beliefs - Hii wanaamini una dark spirit ambayo ina cause mambo kutokea. Hii miaka ya nyuma hapa UK walio kuwa wanaamini ni Wa Congo, Central na West Africa. Lakini wazungu ambao ni wabaguzi wameona ndio sehemu ya kututwanga na kututupia lawama lakini hawaweki wazi. Lakini nina uhakika miaka ijayo wataongea hazarani.