Nunua Toka UK
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 265
- 540
- Thread starter
-
- #141
Kwa watu wanao nijua mimi. Haya mambo ya kulogwa nimekuwa nina pinga sana. Hata kama nilikuwa nimelewa nisingeweza kusema alichondika.Samahani mkuu.
Hatuna uhakika unachokisema sasa ndicho ulichokisema wakati Dr anakuhoji.
Naomba unisaidie ni kipi hasa nilichoandika hapo juu. Kimefanya uone kama nina tatizo visual au auditory hallucinations?Inaweza kuwa visual au auditory hallucinations pia
Mhamiaji haramu halafu nianze kulalamika kuhusu doctor kuandika uongo. Sio ndio wangenipandisha ndege.Wewe ni mhamiaji haramu, usilete mbaambaa hapa
Nina ndugu yangu wa damu akipitia hiyo changamoto,ni nental case kabisaNi mpaka usome komenti zote ndiyo utajua jamaa anaumwa nini yaani usiache hata komenti moja
Jamaa ana ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ndiyo maana kuna member humu amempa mbinu moja awe anaandika vitu anavyofanya leo na kesho na keshokutwa ili haone vitafanana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu mwamba allikua na story za kichawi ulaya, watu wamemkariri, saiv ana revoke statement zake na zinamtesa, Rudi kwenu Tanzania wapo wajinga wanaamini upuuzi wako kidogo utatulia ukikutana nao(sorry kukutukana)
Unawajua weusi wote UK mpaka ujue kama hakuna wanaopitia kama yangu!IlLussion tu hizo,UK kuna blacks kibao,why,only you,??labda unafanana tofauti na binadamu wa kawaida,niamini una mental case
Tunakuonea huruma tunataka upone,sio kwamba tunakubezaUnawajua weusi wote UK mpaka ujue kama hakuna wanaopitia kama yangu!
Hapo kwenye nyekundu nikikwambia unionyeshe ni wapi nimeandika pamekufanya unione nina ugonjwa wa kupoteza kumbu kumbu. Labda nitakuwa nina kuonea na hauta rudi! Ficha ujinga wakoNi mpaka usome komenti zote ndiyo utajua jamaa anaumwa nini yaani usiache hata komenti moja
Jamaa ana ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu
Mbona njia ni nyepesi tu very simple oa dada zao wazungu tena wale brond hair na blue eyes hapo kazi imekwishaNiliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.
Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.
HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.
Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.
Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.
KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.
Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.
Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.
For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.
LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.
Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.
Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.
Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia
Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Kesi yako ni ugonjwa wangetaka usingeweza hata kujibishana humuFafanua unamahanisha nini “hii ya hapa ni tofauti”!
Taja Kijiji kabisa na mtaa rafiki yangu laZima nikusaidie mtanzania mwenzanguKaskazini
It sounds to me that you are suffering from mental illness. Please seek medical careNiliwahi kuandika hapa: Yanayonikuta London (UK) mwaka mwishoni mwa 2023. Baada ya hapo niliamua kukaa kimya na kuendelea kupambana yanayonikabili.
Lakini mambo yameendelea kuwa mabaya kwa upende wangu hapa London. I feel very bullied, tortured, mistreated by health care professionals na ndio kilichonisukuma kuandika hapa leo. Hii imekuwa inaniwia vigumu kumwelezea mtu ambaye hanijuwi akanielewa kwa sababu UK wanaoneka wanafanya mambo yao kwa kuzingatia human rights.
HISTORIA YA NYUMA:
Kutoa historia yangu fupi kwa wale ambao awatakuwa na muda wa kusoma thread yangu ya nyuma. Mimi nimeishi London kwa miaka mingi sasa. Mwaka 2016 nikiwa ninafanya kazi National Healthcare Services(NHS) nilianza ku experience bullying ambayo chanzo chake kilikuwa ni incorrect beliefs lakini kipindi hicho mitaani nilikuwa sijihisi kunyanyaswa. Katika ya mwaka 2022 nikaamua niache kazi NHS nitafute kazi nje ya sector ya afya. Lakini nilipoacha kazi baada ya muda mfupi bullying ikaanza mitaani sehemu ambazo nilikuwa nimeshaishi kwa miaka mingi bila tatizo.
Hapa nilijiona kama kuna watu ambao wamekuwa wakinifuatilia kichini chini na ku-organise na ku-encourage watu wafanye mambo ambayo yatajenga picha ya mimi kuoneka kama wao wanavyotaka. Na vile vile kuni break down kidogo kidogo. Hii walifanikiwa sana kwa monitor mawasiliano yangu yote, ku share locations zangu na pia nina hisi kusikiliza live conversations kupitia simu.
Mwaka 2023, nyumba niliyokuwa nina ishi nilianza kupata kama electrical shock na pia wakati mwingine kama sharp needle pain au zote kwa pamoja. Kwa kipindi hicho hii ilikuwa inatokea mara nyingi nikiwa kitandani nina jaribu kulala. Nika ripoti Polisi mara kadhaa na vile vile nikawa nina lala hotelini na hosteli kabla sija hama.
Fast foward, kwa sasa hivi hizi kama electrical shock and sharp needle pain, the intensity and frequency of ocurrencies have increased. Hasa kama nikiwa ninafanya baadhi ya vitu kama kuandika barua ya malalamiko zinakuwa more intense. Nina amini hisi ni wavelengths ambazo zinatumwa na baadhi ya kikundi cha watu.
KILICHONISUKUMA KUANDIKA HAPA LEO:
Tarehe 5 September 24, ninapoishi sasa hivi mfanyakazi alitaatifu kwamba kuna madaktari wawili wapo reception na kama nilikuwa nina taka waje chumbani au niongee nao kwenye ofisini downstairs. Nikamwambia nitakuja downstairs mazungumzo yafanyike ofisini. Lakini nilipofika reception doctor akanishawishi yafanyike chumbani kwangu ambacho nilikubali.
Hii ilikuwa ni assessment. Doctor ambaye alikuwa anaongoza hiyo assessment alikuwa anauliza haraka haraka na pia kuchanganya changanya. Maswali yake hayakuwa kwenye staili ya mtiririko wa topic moja baada ya nyingine. Na wala mazungumzo hayaku chukuwa muda mrefu. Lakini kwa sababu walikuwa very friendly sikuhisi chochote kibaya kwa wakati huo.
Tarehe 10 September 24. Nikapata ripoti ya hayo mazungumzo. Ilinistua kwa sababu ilikuwa kuna mambo mengi ambayo yalikuwa sio niliyosema.
For Instance, he asked if I believed in black magic. I responded that I do not believe in black magic and I think it is full of bushit. Na ilikuwa nikwa kifupi hivyo.
LAKINI, kwenye report yake yeye aliandika hivi "He spoke about other residents in the previous placements and how they might have place black magic on him." sijasema kitu kama iko na kilichonitia hasira zaidi miezi ya nyuma kuna watu walikuwa wanajaribu kunilisha maneno kihaina nikawaambia kwamba hayo mambo mimi sihamini kwa sababu ninaamini ni uongo.
Pia imetinia hasira kwa sababu wakati nina fanya NHS walianza kuni buli kuhusiana na haya mambo ya imani mpaka mimi kuacha kazi na baadae kukimbia nyumba nilikuwa nimeishi kwa miaka mingi kutokana na harassments. Hii ilinidhirishia nilichokuwa nina hisi kwamba baadhi ya wanao organise haya mambo dhidi yangu watakuwa wana nguvu fulani na reputation ya kuweza kuwafanya watu wafanye mambo yanayokihuka haki za binadamu na sheria.
Nimesha andika barua ya malalamiko kwnye Trust ya huyo doctor aliyekuwa anaongoza assessment na aliyeandika report lakini bado hawaja jibu.
Hii imenifanya nihisi maisha yangu yapo hatarini sana kama mpaka doctor ameandika mambo ya uongo ili kualalisha mambo fulani na pia ku cover bullying ninayopitia
Ninachohisi hawa watu walioko nyuma ya huu mpango wametumia mda mrefu, resources na pia pesa kutengeneza mambo ya uongo kwa hiyo hawawezi ku back down now. Wataendelea kusigini mpaka wanimalize.
Mimi ni genius....kiukweli huyo jamaa ukimsoma kwa makini hana tatizo linalo kwenda kuongezeka la akili la kusababishiwa ....yapo matatizo ya akili ya kusababishiwa kisaikoloji ..wanao kusababishia wanaweza kuwa wamekusudia kukusababishia kwa sababu mbali mbali hao adui zake anao wasema inaonekana wamesha mjua udhaifu wake ulipo ndiyo hapo kwenye sailojolia ...niukweli kuwa jamaa anao watu awampendi na silaha wanayo tumia inaitwa SELFDESTROYER....It sounds to me that you are suffering from mental illness. Please seek medical care
Wazungu hawana ubaguzi huo?Rudi home utibiwe mkuu ushapigwa jini baya sana.....
Wazungu hawana ubaguz huo sema wew ndo upo na shida mkuu may be Black magic inakusumbua.......
Embu fanya...We kuwa na adabu basi afya yako isikupe kibuli kenge wewe,haya jawahi kukupata ,dawa yako nikukugeuza shoga tu kichawi ili uamini mazingaombwe yapo
Hii issues ilianzia nilipokuwa nina fanya kazi hospitali. Kutokana na matendo ya baadhi ya wafanyakazi wengine na pia kilichotokea simu ya mwisho ndio kili confirm nilichokuwa nina hisi kinaendelea na kilichangia mimi ku resign. Hata nilishauriwa nisi resign nani fight. Na pia nikashauriwa mambo kama haya hayawezi kwenda away. Lakini kwa upende wangu nikaona bora nitafute kazi kwenye nhs trust nyingine kuliko ku fight hapo hapo.Daktari anaandika "Objective data" yani anachokiona kwako, mwilini na mazingira yako kama kaja kwako na pia anaandika ulichosema "subjective data" sasa kwa ujumla sioni daktari aje kwako kikazi hakujui wala humjui zaidi ya kazi yake aje kukuundia stori. Inakuwaje aandike taarifa za "uongo" against you. Na maelezo yako yote yanaonekana ni ya kufukirika tu, hayapo organized pia, hayana "empirical evidence" ndo maana nakushauri upate ushauri wa Psyche or Psycho utapata msaada. Wabongo bdo tuna stigma sana kwa magonjwa ya akili na hatupo tayari kuchukua hatua ya kutibiwa kwa hiyari mpaka mtu aje apate mental breakdown apelekwe kavua na nguo.
Mimi nilishawahi fanya kazi kwenye mental health settings. Ninaelewa impact ya kukataa hauna tatizo jinsi litakuathiri wewe binafsi. Halafu kwa hapa UK kwa wengine kuwa diagnosed with mental health ni deal. Utaishi bure na nyumba bure.Dalili kubwa za mental problems ni lack of insight (kukataa huumwi, wkt wengine wanakuona una dalili kbs kama members hapa), hallucinations (visual, tactical, na paranoid) then illusions na kwa ujumla maelezo yako yanaconcide kbs na hizi dalili kwa njia moja au nyingine. So madaktari waliokuja kwako wapo sahihi kabisa. Hivi vitu vinatokea sana huku tulipo nci za watu na especially kama unaishi peke yako, huna mke, huna mtoto wala marafiki, so usiogope kuchukua hatua na kukubali unahitaji msaada toka kwa wengine sasa, akili yako ishafikia mwisho.
Chukua hatua kama utataka
Ubishi wangu ni upi. Doctor kwenye report yake kanilisha maneno. Halafu mimi nikubali kwa sababu ya kuonekana mbishi.Kwa huu ubishi wako utaendelea kusota.