Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Mungu anatisha
Heh heh promised land?haya na tusubiri
anatisha kwa lipi, la mtoto wa rais kutawala. Na familia ya akina Bush Marekani itasemaje
Babu yao prescot ndiye mwanzilishi wa CIA
Baba akawa vice president na President
Mtoto kawa gavana na Rais kwa 10 years
Mtoto Mwingine (Jeb Bush) alikuwa gavana na anataka kugombea urais 2016 na tayari mwanaye ni commissioner wa ardhi
Urais 10 years Marekani? haiwezekani.
we mjinga kweli, una quote kisha unabadili content
anatisha kwa lipi, la mtoto wa rais kutawala. Na familia ya akina Bush Marekani itasemaje
Babu yao prescot ndiye mwanzilishi wa CIA
Baba akawa vice president na President
Mtoto kawa gavana na Rais kwa 8 years
Mtoto Mwingine (Jeb Bush) alikuwa gavana na anataka kugombea urais 2016 na tayari mwanaye ni commissioner wa ardhi
anatisha kwa lipi, la mtoto wa rais kutawala. Na familia ya akina Bush Marekani itasemaje
Babu yao prescot ndiye mwanzilishi wa CIA
Baba akawa vice president na President
Mtoto kawa gavana na Rais kwa 8 years
Mtoto Mwingine (Jeb Bush) alikuwa gavana na anataka kugombea urais 2016 na tayari mwanaye ni commissioner wa ardhi
Urais 10 years Marekani? haiwezekani.