alexis jr
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 393
- 343
Habari wakuu,
Nimeona habari(conspiracy) inayosema raisi wa Nigeria Buhari amefariki na aliyepo sasa si yeye ni mtu anaefanana nae (clone ) ambae ni raia wa Sudan aitwae jubril . Je kisheria kama madai hayo ni kweli kisheria imekaaje. Naomba kuelimishwa
Nimeona habari(conspiracy) inayosema raisi wa Nigeria Buhari amefariki na aliyepo sasa si yeye ni mtu anaefanana nae (clone ) ambae ni raia wa Sudan aitwae jubril . Je kisheria kama madai hayo ni kweli kisheria imekaaje. Naomba kuelimishwa