Neno la mwakilishi kutoka Lumumba![emoji30][emoji30][emoji30]Aisee
For the sake of peace hamna shida kabisa
Na ukiwa double unatakiwa kujua mengi ya kuhusu muhusika mwenyeweporojo tu, huyo jamaa amejaa sana pia kuthibitisha hilo ni kumuuliza stori za zaman enzi anapindua nchi mara ya kwanza. stori za shule na harakati nyingine akimbwela bwela ni kupiga chini.
ila siwez amini maana sioni umuhimu wa kufanya ivo
mkuu utajua mengi ila ya kusimuliwa ila yale ya ndani huwezi jua labda ulikuwa na kamchepuko ka siri unakajua ww na frend wako wa karibu ukiulizwa ww mtu mpya huwez juaNa ukiwa double unatakiwa kujua mengi ya kuhusu muhusika mwenyewe
Aisee
For the sake of peace hamna shida kabisa
haya ni mambo ya Photoshop na gimpSitaki kuamini kweli haya ni mawazo ya ‘great thinker’
swali langu ni kwamba kwann mada ya msingi kama hii haina wachangiaji. ila ukileta MADA kuhusu ukristu wanakuja kama woteHabari wakuu,
Nimeona habari(conspiracy) inayosema raisi wa Nigeria Buhari amefariki na aliyepo sasa si yeye ni mtu anaefanana nae (clone ) ambae ni raia wa Sudan aitwae jubril . Je kisheria kama madai hayo ni kweli kisheria imekaaje. Naomba kuelimishwaView attachment 952905View attachment 952907View attachment 952909View attachment 952910