Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Naona kenge wamefungua uzi wanajibishana wao kwa wao
 
Hivi Vizee sasa vistaafu kucheza...Sasa Ntibazonkiza badala kufunga anaokoa
 
Mwaka jana walikata pumzi raundi ya pili ila mwaka huu naona kila dalili ya kukata pumzi raundi ya kwanza,, na leo litafukuzwa jitu utopoloni nyie ngojeni tu,,,
 
Yanga inapata freekick eneo jirani na kona area hapa ebu tuone
 
Reactions: Lee
Mayele kapiga header imeenda nje ya lango
 
Reactions: Lee
Biashara wanapata kadi ya njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…