Salt Bae
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 140
- 196
Inasikitisha sana Yanga kupenda kulalamika kuwa Simba huwa inapulizia dawa kwenye dressing room. Mmewajaza ujinga As Vita wakaja kupiga picha na mask na kuzipost mtandaoni. Yanga acheni majungu kama ni utani wahadi kuna vitu vingine mnavyoviongea sio sawa kabisa inatakiwa mkubali kwa sasa Simba ipi vizuri kiuchumi hata nyie kipindi mnashinda mlikuwa vizuri kiuchumi hatukuwa na gitna na maneno yamkosaji na yakimaskini yakusema tunapuliziwa dawa.
Jimmy kindoki kama upo humu jf punguza mdomo una maneno mengi ambayo sio yakisport yani unaongea vitu ambavyo sio kabisa unasemaje Simba inashinda kwa kutumia uchawi acha hizo sifa zakipbavu zakutafta umaarufu
Jimmy kindoki kama upo humu jf punguza mdomo una maneno mengi ambayo sio yakisport yani unaongea vitu ambavyo sio kabisa unasemaje Simba inashinda kwa kutumia uchawi acha hizo sifa zakipbavu zakutafta umaarufu