McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,166
- 2,322
Salaam
Kama topic ilivyo hapo juu. Hawa uto wakiwa juu ya msimamo no matter what, huwa kelele zina potea kuilalamikia Simba sc, TFF na waamuzi. Kama sasa hivi kwa michezo saba na point zao hizo huwezi kusikia lalamiko lolote.
Sasa subiri simba irudi nafasi yake, ndio utajua nini maana ya uwepo wa Amphibia duniani [emoji3]
Napenda kuwakumbusha hili maana wanaJf mnalisahau sana.
Kama topic ilivyo hapo juu. Hawa uto wakiwa juu ya msimamo no matter what, huwa kelele zina potea kuilalamikia Simba sc, TFF na waamuzi. Kama sasa hivi kwa michezo saba na point zao hizo huwezi kusikia lalamiko lolote.
Sasa subiri simba irudi nafasi yake, ndio utajua nini maana ya uwepo wa Amphibia duniani [emoji3]
Napenda kuwakumbusha hili maana wanaJf mnalisahau sana.