Yanga atafungwa 2 bila na USM Alger leo

Yanga atafungwa 2 bila na USM Alger leo

pole sana.... kuna siku mtaukubali ukweli, kwamba YANGA ni bingwa CAFCCL
 
Goli la kwanza ni penati goli la pili ni counter attack moja matata sana.

Imeisha hiyo
Ulitakiwa umalizie kwa kusema hivi; ikitokea Yanga ameshinda, uitwe mbwa umekaa pale. 👉🐕‍🦺
 
Asanteni Waarabu! Hamna baya!

Shughuli imeisha, jiji limetulia......

Mechi ijayo wanakula 4 wanarudi jangwani vyura hao!!

Ngoja sie tuendelee kula zetu mandazi na kocha wetu
 
Back
Top Bottom