Yanga badala ya kujiimarisha na CUF Champs mnapambana na mabango

The Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
5,879
Reaction score
11,318
Yanga mnapaswa kufocus na mashindano yajayo. Kwa hili la kuhangaika na mabango msijetafuta mchawi mkitolewa Makundi.
 
Malengo ilikuwa kufuzu makundi Cafcl na kumfunga 5imba. Sasa nikuulize je hayo malengo yametimia au hayajatimia?
 
Mi naona Simba wanahangaika zaidi kuliko yanga [emoji2772][emoji2772][emoji2772]
 
Yanga mnapaswa kufocus na mashindano yajayo. Kwa hili la kuhangaika na mabango msijetafuta mchawi mkitolewa Makundi.
Kumbe bwana Lipumba siku hizi naye ana mashindano! Hakiiiiiiiiiiiiiii sawaaaaaaaaaa,haki Sawa kwa naniiiiiiiiii? Kwa woteeeeeeeeeer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…