Yanga bado wanahitaji utulivu

Yanga bado wanahitaji utulivu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Utulivu Utulivu Utulivu

[emoji3578]Zalan kama kawaida yao waliamua kucheza nyuma ya mpira muda mwingi (9-10 behind the ball) kwasababu ilikuwa ngumu kupisha na Yanga ambayo ina daraja kubwa la quality.

[emoji3578]Yanga leo shape yao wakati wanashambulia ilikuwa 2-1-7 yaani mstari wa mwisho (attacking phase) ilikuwa na Kibwa Shomari , Joyce Lomolisa, Jesus Moloko,Farid Mussa, Azizi Ki, Feisal na Mayele na kuna muda Sure Boy alikuwa anaongezeka.

[emoji3578]Kwa hiyo ikawa 8 vs 9 yaani Zalan wakawa na wachezaji 9 dhidi ya 8 wa Yanga na Zalan Muda mwingi wakawa wanamuacha mshambuliaji wao Akoti mbele.Licha ya Yanga kuwa na wachezaji wengi kwenye mstari wa mwisho na kutengeneza nafasi nyingi walikosa utulivu na ushirikiano wa kutosha wa kufunga magoli.

[emoji3578]Kama Yanga wangekuwa na Utulivu kipindi cha kwanza kwenye eneo la mwisho mechi ya leo wangepata magoli hata 7.

Note.

[emoji3578]Nafasi walizopata Yanga leo hawawezi kuzipata dhidi ya timu kubwa timu zenye ubora na experience ya mashindano haya.

[emoji3578]Zalan bado sio kipimo sahihi cha ubora wa Yanga kimataifa,ngoja tuone nini kitatokea Yanga wakikutana na timu zinazopenda kupishana(offensive minded team).

[emoji3578]Mayele kipindi cha kwanza alikosa sana umakini na kuna muda ubinafsi wake uliifanya timu kushindwa kupata magoli,kwangu mimi Mayele kufunga Hat Trick ya pili dhidi ya vibonde Zalan sio stori kubwa.

[emoji3578] Azizi Ki anakufanya uone kufunga goli kwa pass ni jambo rahisi,what a player [emoji119][emoji119].

Full Time

Yanga 5-0 Zalan

Aggregate
Yanga 9 - 0 Zalan

@omarrkombo
 
Utulivu Utulivu Utulivu

[emoji3578]Zalan kama kawaida yao waliamua kucheza nyuma ya mpira muda mwingi (9-10 behind the ball) kwasababu ilikuwa ngumu kupisha na Yanga ambayo ina daraja kubwa la quality.

[emoji3578]Yanga leo shape yao wakati wanashambulia ilikuwa 2-1-7 yaani mstari wa mwisho (attacking phase) ilikuwa na Kibwa Shomari , Joyce Lomolisa, Jesus Moloko,Farid Mussa, Azizi Ki, Feisal na Mayele na kuna muda Sure Boy alikuwa anaongezeka.

[emoji3578]Kwa hiyo ikawa 8 vs 9 yaani Zalan wakawa na wachezaji 9 dhidi ya 8 wa Yanga na Zalan Muda mwingi wakawa wanamuacha mshambuliaji wao Akoti mbele.Licha ya Yanga kuwa na wachezaji wengi kwenye mstari wa mwisho na kutengeneza nafasi nyingi walikosa utulivu na ushirikiano wa kutosha wa kufunga magoli.

[emoji3578]Kama Yanga wangekuwa na Utulivu kipindi cha kwanza kwenye eneo la mwisho mechi ya leo wangepata magoli hata 7.

Note.

[emoji3578]Nafasi walizopata Yanga leo hawawezi kuzipata dhidi ya timu kubwa timu zenye ubora na experience ya mashindano haya.

[emoji3578]Zalan bado sio kipimo sahihi cha ubora wa Yanga kimataifa,ngoja tuone nini kitatokea Yanga wakikutana na timu zinazopenda kupishana(offensive minded team).

[emoji3578]Mayele kipindi cha kwanza alikosa sana umakini na kuna muda ubinafsi wake uliifanya timu kushindwa kupata magoli,kwangu mimi Mayele kufunga Hat Trick ya pili dhidi ya vibonde Zalan sio stori kubwa.

[emoji3578] Azizi Ki anakufanya uone kufunga goli kwa pass ni jambo rahisi,what a player [emoji119][emoji119].

Full Time

Yanga 5-0 Zalan

Aggregate
Yanga 9 - 0 Zalan

@omarrkombo
Acha basi ndugu mchambuzi kuwakosoa.
Zalan ni bingwa huko kwao kama alivyo yanga na ni kipomo sahihi kwa ubora wa yanga.
Kwa hicho tuluchokiona kwenye mechi hizi wachezaji wapewe mapumziko tu maana wanajua.
Timu gani hawataichapa goli zaidi ya tatu mwaka huu huko klabu bingwa?

Yanga ni wababe maana ndio timu pekee ina goli nyingi hadi sasa na hiyo ni dalili kuwa anayefuata ajopange.
Mayele ataendelea kufunga hat trick.

Yanga itachukua ubingwa wa Afrika mwaka huu.
 
Back
Top Bottom