Habari wakuu,
Kwa sababu hii Kutowapanga Aucho,Pacome,Yao Eti hawapo Fit 100% Kuwa wasijekuumia wakakosa Ubingwa na kuwatumia kwenye Ligi pamoja na Mechi ya Simba!
Leo wanaweza Kupigwa Nyingi na Mamelodi
Na Ubingwa wa NBC pia wakakosa! Hata kama wakija Kumfunga Simba!
Kwa sababu hii Kutowapanga Aucho,Pacome,Yao Eti hawapo Fit 100% Kuwa wasijekuumia wakakosa Ubingwa na kuwatumia kwenye Ligi pamoja na Mechi ya Simba!
Leo wanaweza Kupigwa Nyingi na Mamelodi
Na Ubingwa wa NBC pia wakakosa! Hata kama wakija Kumfunga Simba!