Habari wakuu,
Kwa sababu hii Kutowapanga Aucho,Pacome,Yao Eti hawapo Fit 100% Kuwa wasijekuumia wakakosa Ubingwa na kuwatumia kwenye Ligi pamoja na Mechi ya Simba!
Leo wanaweza Kupigwa Nyingi na Mamelodi
Na Ubingwa wa NBC pia wakakosa! Hata kama wakija Kumfunga Simba!