Hii timu wanaongoza kwa kulalamikia marefa na TFF,na hata kule Zanzibar kuna wajinga walikuwa wanalalamikia TFF wasijue kule kuna ZFF.
Siyo hapa tu,huko CAF wamekuwa wanaongoza kwa kulalamikia maamuzi na kuthubutu kusema eti Simba ni last born wa CAF.
Malalamiko hayaishii hapo,hata FIFA walishalaumiwa na kulalamikiwa sana na hawa watu wa utopolo.
Lakini tunaona hawa jamaa bila kutoa mlungura na bila kubebwa,ni timu ya kawaida mno.
Siyo hapa tu,huko CAF wamekuwa wanaongoza kwa kulalamikia maamuzi na kuthubutu kusema eti Simba ni last born wa CAF.
Malalamiko hayaishii hapo,hata FIFA walishalaumiwa na kulalamikiwa sana na hawa watu wa utopolo.
Lakini tunaona hawa jamaa bila kutoa mlungura na bila kubebwa,ni timu ya kawaida mno.