leo yatasemwa mengiHii timu wanaongoza kwa kulalamikia marefa na TFF,na hata kule Zanzibar kuna wajinga walikuwa wanalalamikia TFF wasijue kule kuna ZFF.
Siyo hapa tu,huko CAF wamekuwa wanaongoza kwa kulalamikia maamuzi na kuthubutu kusema eti Simba ni last born wa CAF.
Malalamiko hayaishii hapo,hata FIFA walishalaumiwa na kulalamikiwa sana na hawa watu wa utopolo.
Lakini tunaona hawa jamaa bila kutoa mlungura na bila kubebwa,ni timu ya kawaida mno.
Mbilikimo za mangungu zimeanza kunyanyua midomo, hivi huo mlungula Kama viongozi wako nao waliupokea mkachapwa goli 5 unafikiri mtanusurika? Timu Bora itaendelea kutoa vichapo na Leo iyo SARE ni mtego endeleeni kushupalia ligi tunaanza RASMI tarehe 5 baada ya apo mtaisoma nambaHii timu wanaongoza kwa kulalamikia marefa na TFF,na hata kule Zanzibar kuna wajinga walikuwa wanalalamikia TFF wasijue kule kuna ZFF.
Siyo hapa tu,huko CAF wamekuwa wanaongoza kwa kulalamikia maamuzi na kuthubutu kusema eti Simba ni last born wa CAF.
Malalamiko hayaishii hapo,hata FIFA walishalaumiwa na kulalamikiwa sana na hawa watu wa utopolo.
Lakini tunaona hawa jamaa bila kutoa mlungura na bila kubebwa,ni timu ya kawaida mno.
Hata kama hakubebwa,lakini ukweli lazima usemwe pale unapobebwa kwa timu zingineAta Simba wakati ana kandwa goli Tano na kupigiwa mpira mwingi Yanga alikua ana Bebwa!!!
Mi kama yanga sema pale walikosea, ilikua onsideHakuna goli pale, ile ni clear offside sijui mnabisha bisha nini
Piga filimbiMi kama yanga sema pale walikosea, ilikua onside
Kuna goli halali tulifunga refa akaweka offsideEmbu semeni....Kabebwaje bebwaje.?
Yanga Sports Club...njooni mum challange huyu Bwana..Yanga Kama Yanga,wengine huiita 'Daresilamu Yanga Afrika' Amebebwaje bebwaje Leo..!
Chama letu linadhalilika huku hujuma za Kubebwa...!