"Yanga Bwana" Hamna hela mnataka wachezaji wazuri

kimarabucha

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
791
Reaction score
621
Klabu ya Yanga inapenda kusajili wachezaji wazuri lakini wanapotajiwa gharama wanalalamika.Yanga kumbukeni kuwa mchezaji mpaka anakuwa mzuri ameandaliwa hivyo muwe tayari Kulipa gharama na kama hamna hela tafuteni WACHEZAJI kwenye mashindano ya NDONDO CUP.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mzee Wenger tofauti yao ni kuwa Yanga hawana hela Wenger bahili

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Atakuja akiwa huru...shida hakuna... Pesa zipo ila ulimbukeni ndo Yanga hawataki...pia Azam na Yanga sio club zenye ukaribu...ingekuwa Simba ns Azam labda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gadiel 131m alafu aje kukaa benchi kwa Haji
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji115] [emoji115]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiyempenda kaja. By the way, zile point tatu zinakuja lini? Lialia FC aka binti machozi fc
 
Msiyempenda kaja. By the way, zile point tatu zinakuja lini? Lialia FC aka binti machozi fc
Mikia FC kwa kuwaamini watu mnatisha.

Mlituaminisha kuwa Kocha Phiri ndiye kocha bora kabisa, hivyo kila timu yenu ikifanya vibaya mlikuwa mnamleta. Mara ya mwisho kilichomtoekea mnakijua ninyi wenyewe.

Sasa hivi kila mkishindwa kuchukua ubingwa mnamuita Okwi, naamini huu ni mwisho wake pia kama ilivyokuwa kwa Kocha Phiri.

Mtu mzima hatishiwi nyau!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…