Yanga CCM!

Mbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2007
Posts
12,752
Reaction score
7,861
...sasa nimethibitisha uhusiano baina ya hawa kandambili na CCM, ndio maana hata wakishinda utawasikia,

"...CCM! CCM! CCM!..."​
...kama hilo halitoshi kila kiongozi anayeingia madarakani (tangu Uhuru) anatokea kwenye mizizi ya hawa 'sie Yanga khakhaaaaa...!'

...Jakaya Mrisho wa Kikwete yeye ndio mnazi hasa, tena maskani yake yalikuwa pale mwembe Yanga, Mzee Mwinyi ndio ohoooo..., 'Mchonga' yeye angalau alificha ficha makucha japo mnh(!?), Mzee Karume yeye hakujizuia, aliwajengea pale Jangwani!

Mbaya zaidi (kwetu sie Taifa Kubwa), leo huyu Makamba naye analeta viroja vyake;


...yaani huyu bwana mkubwa hakuona mfano mwingine kama SIMBA TAIFA KUBWA, yeye kakazana Yanga, Yanga... pheeeeeeww, tunaongozwa na YANGA injii hii!
 
Achana na Makamba bwana hapo anapiga Kamba zake!
 
Achana na Makamba bwana hapo anapiga Kamba zake!

...mgosi yule alitakiwa angalau ashabikie African Sports (mnh?, na hawa nao tawi la yanga Tanga!) au Coastal Union...
 
Ndo maana yake na hata CHADEMA,CUF,NCCR,UDP,TLP you mention viongozi wake wakuu ni yanga damu, nyie simba hamna pakutokea kila kiongozi wa nchi hii ni yanga. usisahau wafanya biashara maarufu wote ni yanga Mengi, Manji you name! Naona kabisa kuna haja ya kufanya research kwa nini watu wote wenye mafanikio ni YANGA DAMU? au kuwa yanga ni sign ya miakili kibao? nakuibia siri obama naye yanga damu.
 
Naona kabisa kuna haja ya kufanya research kwa nini watu wote wenye mafanikio ni YANGA DAMU? au kuwa yanga ni sign ya miakili kibao? nakuibia siri obama naye yanga damu.

Kazi ipo, mtapiga kelele weeeee, lakini mambo yote ni Wekundu wa Msimbazi, Simba.
 
Kazi ipo, mtapiga kelele weeeee, lakini mambo yote ni Wekundu wa Msimbazi, Simba.

Pole mtani Simba ishakuwa nyanya siku hizi kiwango cha mbagala united, du hivi ligi bado inaendelea?juzi niliwasikia watani wanashangilia
 
Mkuu Mbu hata nafasi ya 2 kuna hati hati msifikie sijui...
 
Hii yote ni kutokana na kauli ya Mr.Makamba;lakini yeye alikuwa anamaanisha jinsi Yanga ilivyotangaza ubingwa mapema kabla ya kuisha kwa ligi pia ndiyo wanaolishikilia kombe hilo kwa mara ya pili mfululizo na hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa CCM huko jimbo la Busanda.Hiyo ilikuwa ni kauli ya majigambo kutoka kwa Yusuph Makamba.
Haina maana kila kiongozi lazima awe mshabiki ya Yanga!Kuwa wengine hata mambo ya soccer kwao haya nafasi,ili zungumzia issue ya fedha;hata majani watanzania watakula ili mradi yeye na jamaa zake wapate.
 
Pole mtani Simba ishakuwa nyanya siku hizi kiwango cha mbagala united, du hivi ligi bado inaendelea?juzi niliwasikia watani wanashangilia

Yani Simba ni kama Mbagala United?, Mkuu Burn siku tukikutana Yebo Yebo hata kama mmeshakuwa bingwa mtafungwa. Hasira za kukosa ubingwa lazima ziwashukie.
 
Yani Simba ni kama Mbagala United?, Mkuu Burn siku tukikutana Yebo Yebo hata kama mmeshakuwa bingwa mtafungwa. Hasira za kukosa ubingwa lazima ziwashukie.

Du nasikia mna struggle kupata nafasi ya pili? sisi mechi ya simba kwetu sio dili sana, maana hawana wanachoweza ila fitna tu, tunaweza kuwaachia kwa sababu kwetu haina umuhimu na tukiwafunga kinachofuatia ni mgogoro msimbazi.
 
Basi kama yanga ni CCM basi
Simba ni CUF
Kagera ni Chadema
n.k
Mi nadhani Makamba alichemka kutoa mfano kama huo nanivyo jua mimi makamba ni simba ama..
Kesho atasema CCM ni Wakritu
hajui anapo tamuka simba unawagusa nusu ya watanzania au ndiyo changamoto yenyewe.....
au aliimanisha YANGA NI MAFISADI KAMA CCM MAANA WANAZAMINIWA NAFISADI
 

Du kaazi kwelikweli hapo timu lenu likiboronga mtamlaumu nani? maana mashabiki hata kuandika hawajui, kweli Simba ni nyanya.
 
Na wengi wao ni Mafisadi ndiyo maana wana mafanikio unajua pesa haramu inamafanikio kwa sana tu...Hivi na RA nae ni yanga ila sia mini kama obama ni Yanga...Timu simba
 
Du kaazi kwelikweli hapo timu lenu likiboronga mtamlaumu nani? maana mashabiki hata kuandika hawajui, kweli Simba ni nyanya.
Kwanza tunafukuza kocha, Hasira ndiyo maana nilichemka...vipi waume zenu wameshatua (Al Ahly)...............................mtajuta kukutana nao au msipeleke timu kama kawaida yenu tetetetetetetetetetetetetetetetete..
 
Kwanza tunafukuza kocha, Hasira ndiyo maana nilichemka...vipi waume zenu wameshatua (Al Ahly)...............................mtajuta kukutana nao au msipeleke timu kama kawaida yenu tetetetetetetetetetetetetetetetete..

Kufukuza kocha ndio suluhisho nawashauri uzeni na timu yote kwa Azam united muanze upya, hao vibonde wa Misri tunakwenda kuwachinjia uwanja mpya wala usihofu huku hakuna hujuma kama kwao..pole hivi Simba wanashiriki mashindano gani tena?
 
Kufukuza kocha ndio suluhisho nawashauri uzeni na timu yote kwa Azam united muanze upya, hao vibonde wa Misri tunakwenda kuwachinjia uwanja mpya wala usihofu huku hakuna hujuma kama kwao..pole hivi Simba wanashiriki mashindano gani tena?

Kombe la mbuzi kule Mabagala!! umesahau?
 
Kufukuza kocha ndio suluhisho nawashauri uzeni na timu yote kwa Azam united muanze upya, hao vibonde wa Misri tunakwenda kuwachinjia uwanja mpya wala usihofu huku hakuna hujuma kama kwao..pole hivi Simba wanashiriki mashindano gani tena?
Sawa mkuu yetu macho na masikio lkn msije tafuta visingizio oooooooh!! hawa jamaa walishazoea kutumia viwanja vizuri ndiyo maana wametufunga, eti hujuma kwani nyie hamuwezi fitna za michezo tumie pesa za kifisa kufanya hujuma, kwanza nini kiliwafanya mng`ang`anie uwanja wa uhuru au ilimuweze kuchimbia matunguli yenu vizuri....nawatakia ushindi wa 2 -1 ili tubanane hapa, tunashiriki mashindano gani, kwani lazima kila timu tushiriki zamu yenu lkn aibu tu..
 
Eagle is not A Chicken!!
YANGA IMARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…