Franky Samuel JF-Expert Member Joined Oct 10, 2018 Posts 5,195 Reaction score 13,785 Jul 12, 2023 #1 Bado siku 10 ifike tarehe 22, yanga tayari wameingia kambini kujiandaa na msimu ujao, za ndani zinasema kwamba yanga watacheza na Kaizer chief ya Afrika Kusini.
Bado siku 10 ifike tarehe 22, yanga tayari wameingia kambini kujiandaa na msimu ujao, za ndani zinasema kwamba yanga watacheza na Kaizer chief ya Afrika Kusini.
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Jul 12, 2023 #2 Kazi kazi watani.... Mwaka huu mtachapika sana...kuanzia Yanga siku... π π π
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jul 12, 2023 #3 Dah! Siku tamu sana hii. I wish ningehudhuria. Ila sasa ndiyo hivyo tena. Mambo ni mengi, halafu muda ni mchache.
Dah! Siku tamu sana hii. I wish ningehudhuria. Ila sasa ndiyo hivyo tena. Mambo ni mengi, halafu muda ni mchache.
DullyJr JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 13,983 Reaction score 11,857 Jul 13, 2023 #4 Kwanini msingecheza na KMKM? Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app