Yanga FC msijidanganye ' Kiufundi ' bado hamna uwezo wa Kuifunga Simba SC katika ' Derby ' ya tarehe 30, Septemba 2018

Mechi zote za hivi karibuni Simba wakiwa wanatumia viungo watano bado kiungo mmoja tu wa yanga aliweza kuwalaza na viatu, Papii Kabamba Shishimbi akitajwa mchezaji bora wa mechi. Kwaiyo sehemu ya kiungo Simba ata wawe watano kama ilivyo sasa bado Shishimbi atawafunika.

Hatari ninayo iona kwasasa Yanga wanakasi kubwa wakiwa wana shambulia na Simba wana wachezaji wenye umli mkubwa hasa katikati ya difensi na ilo ndilo eneo ambalo Yanga watalishambulia. Tusubiri tuone itakavyokua.
 
Mikia kucheza na Yanga wanaona kama wanacheza na USM Alger kwenye CAF Championship mpaka wanaomba mechi kuhairishwa wajiandae....TFF mjitathimini sana
 


Hizo ndio timu zenye mataja ya VPL chini ya 27.

Ukiona timu yako haipo ujuo ina mataji zaidi ya 27.
 
Mind game ni nini na mbinu ya mchezo ni nini. Kama utatumia mind game kwenye mchezo hiyo itakuwa part ya mbinu ya mchezo.
Simba huwa anamfunga yanga kwa mind game zaidi na si mbinu za kimchezo...MANARA SASA ANAUMWA..NANI ATAONGEA TRASH TALK...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…