Yanga FC waondoka rasmi Uwanja wa Mkapa

Kuahirisha muda dakika za mwisho ni makosa makubwa hasa katika timu za Kiafrika, watu wameshapima katika ramli (Falaq) na kupiga mahesabu ya siku na saa na ili kutafuta ushindi na kafara zimeshafanyika...halafu mnaleta upuuzi kubadilisha muda!! [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…