Ukiangalia timu inavyocheza dhidi ya Zesco huoni km Yanga inakocha. Mpira wanacheza kwa papara sn hakuna mipango yoyote wanayoifanya. Kulia anamuweka benchi Juma Abduli anang'ang'ania wachezaji aliowasajili akina Ali Ali, Sadney wakati hawana lolote!! Yanga fukuzeni haraka sn huyu kocha ,timu haitofika popote
Ukiangalia timu inavyocheza dhidi ya Zesco huoni km Yanga inakocha. Mpira wanacheza kwa papara sn hakuna mipango yoyote wanayoifanya. Kulia anamuweka benchi Juma Abduli anang'ang'ania wachezaji aliowasajili akina Ali Ali, Sadney wakati hawana lolote!! Yanga fukuzeni haraka sn huyu kocha ,timu haitofika popote