Yanga Hatari!

Yanga wanaongoza kwa goli moja limefungwa na Jerry Tegete
 
Balantanda asante,
Muda gani umebakiwa mchezo uishe?
 
Referee amewachanganya wachezaji wa Moro Utd, mwanzo wa mchezo alikuwa amevaa vizuri tu nguo zilizo tofauti na wachezaji wa timu zote. Baada ya half time, alirudi uwanjani na mavazi yanayofanana na jezi za Moro Utd, ndipo wachezaji wakaanza kumpa pasi !! Haileweki alibadili kwa sababu gani. Au kwa kuwa vile vyumba vinaitwa "vyumba vya kubadilishia nguo" ?
 

Hiyo mkuu kali sana!!!
 

Kwa vyovyote kuna mkono wa Yanga hapa ..
 
Balantanda
tunashukuru kwa kazi unayoifanya ipo standard na speed safi mnooooooooooo
 
I gave you a good name Tobi, what is your name ,Kunta kitne! Very funny. Kunta unatupa machungu ndugu zako sie weusi!
 
Balantanda
tunashukuru kwa kazi unayoifanya ipo standard na speed safi mnooooooooooo

Ni vizuri pia kubonyesha ile sehemu ya thanks ili kuweka record nzuri kwamba ulitoa shukrani.
 
Sasa Wandugu bado mechi ngapi tutawazwe mabingwa? Na sherehe tutaifanyia wapi?

Mimi nashauri hiyo sherehe tuwakaribisheni Simba- au mnaonaje?

Haha haha Ha!
 
Masanilo upo juu kwenye siasa nimekukubali, lakini si kweli jamaa anatupa mambo standard, kwani matokeo tunayapata huku europe wakati watu wa tz wanakua wengine hawajui. Keep it up!
 
Sasa Wandugu bado mechi ngapi tutawazwe mabingwa? Na sherehe tutaifanyia wapi?

Mimi nashauri hiyo sherehe tuwakaribisheni Simba- au mnaonaje?

Haha haha Ha!



Hahahaaaaaa... funny how time flies!! Majuzi tu yaani yanga walikuwa wanaalikana kwenye ubingwa, leo sijui hata dalili hizi sizioni

Wakongwe karibuni basi tujadili jinsi soka la yanga lilivyofulia pamoja na kupata kocha mpya Clinton??!!😛

Pole mtani wangu Masa
 

Raha ya mbio kumalizia sheikh...
Ligi bado...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…