Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Hili ndo linaniuma zaidi,
Nyani tuitwe sisi halafu na fedha tulipe sie[emoji24][emoji24][emoji24]
Zero brain kama nyie ni tatizo kwenye mpira wetu, na wewe ukute una familia inakutegemea uisimamie🤔🤔Thubutu kwa timu gani?
Maana yule kiungo wenu mliyekuwa mnamtegemea kwa mbio ndio huyo anapaki mabegi.
Djuma Shabani na Bangala nao kama sio kesho basi kesho kutwa tutaskika "senkyu"
Lomalisa naye yupo kwenye tetesi za kwenda Azam
Mitso mliyetudanganya katimkia uarabuni
Mayele naye tumesikia aliripotiwa na vyombo vya nje kuwa kuna watu wanamfata.
Ambaye mna uhakika wa kubaki naye kwa asilimia 60 ni Diarra. Ambaye ni useless bila hao wengine.
Tungeweza kusema mtapata ubingwa kwa kuhonga sasa mixer na madeni mliyokuwa nayo mtaweza ku handle bajeti?
Mlisema hivyo hivyo hadi kwenye ishu ya Nabi.Zero brain kama nyie ni tatizo kwenye mpira wetu, na wewe ukute una familia inakutegemea uisimamie🤔🤔
Mpira ni uwekezaji na sio blah blah au tantalila za mhindi wenu wa bombay, sasa hivi mmewekeza kwenye kupiga domo mitandaoni na wenzenu wametulia wanawachora tu mnavyojianika wakiweka mipango ya msimu ujao, ligi ikianza muanze kufungua mabakuri yenu mara bahasha, mara mangungu aachie ngazi!
Baada ya ayo yote kutokea mkabeba makombe mangapi bwana mkubwa? Watakuja kwenu muwalipe nyie mnaolipa mishahara kwa wakati ndio maana mmebeba makombe mfululizo wachezaji wenu wana morali ya kufanya kazi!Mlisema hivyo hivyo hadi kwenye ishu ya Nabi.
Tena aliongea Raisi wa Club kuwa wapo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba na Nabi.
Lakini leo Nabi ndio ametufunulia ukweli wote ambao hatukuujua.
Mkadanganya kuwa mtoto wake ndio Meneja wake na amekuja kwa ajili ya kumsimamia dingi yake kwenye kuongeza mkataba mpya.
Maisha yenu yote ni uongo....
Halafu
Uwekezaji unaenda sambamba pamoja na kulipa mishahara wachezaji kwa wakati.
Yanga Princess sijui kama mmewalipa mpaka sasa.
Bangala na Djuma Shabani wameamua kutumia deni wanalodai kama pesa ya kuvunjia mkataba baada ya kulimbikiza kwa muda mrefu na hakuna dalili wanayoona watalipwa.
💯🤝Niseme tu ukweli mimi ninafurahi sana Yanga wakiwa kwenye matatizo basi tu nawaombea mabalaa tu...
Usimsahau Papaa Mwinyi Zahera ....bana congo aliwalipia mpaka nauli na chakula hawa utoSasa wataporwaje pointi 9 kwenye ligi ambayo imeisha na wao ndio mabingwa?
Ila Yanga imeandamwa na madeni.
Huku Yanga Princess wanadai, huku Bangala na Djuma Shabani nao wanadai.
Hawajakaa vizuri naye Lucy Eymael naye anawadai.
Nawashauri Yanga wakakope kausha damu walipe madeni yao
Bingwa wa madeni labdaMkija kustuka yanga bingwa mpaka 2030.
Waache kidogo mkuu utawaua kwa preshaMlisema hivyo hivyo hadi kwenye ishu ya Nabi.
Tena aliongea Raisi wa Club kuwa wapo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba na Nabi.
Lakini leo Nabi ndio ametufunulia ukweli wote ambao hatukuujua.
Mkadanganya kuwa mtoto wake ndio Meneja wake na amekuja kwa ajili ya kumsimamia dingi yake kwenye kuongeza mkataba mpya.
Maisha yenu yote ni uongo....
Halafu
Uwekezaji unaenda sambamba pamoja na kulipa mishahara wachezaji kwa wakati.
Yanga Princess sijui kama mmewalipa mpaka sasa.
Bangala na Djuma Shabani wameamua kutumia deni wanalodai kama pesa ya kuvunjia mkataba baada ya kulimbikiza kwa muda mrefu na hakuna dalili wanayoona watalipwa.
Hiyo haiwezi kuwa justificationAsie daiwa ni nani hapa duniani?
Mwaka 1975/1976 Yanga walikuwa wamechelewa sana kulipia mkopo wa kujenga makao makuu yao na uwanja wao. Benki wakaenda mahakamani. Mahakama ikawapa Yanga mwezi mmoja walipe au makao maku yao na kiwanja vipigwe mnada. yanga waliteuwa kamati ya kuchangisha hela zinazohitajika; wakafungua akaunti maalumu kwa shughuli hiyo tu. Fedha yote iliyokuwa ikihitajika ilipatikana ndani ya muda husika na makao makuu na uwanja vikasalimika mpaka leo. Sembuse madai ya mtu mmoja?MABINGWA wa Ligi Kuu Bara na Kombe la ASFC, Yanga wanaweza kukumbana na rungu la kufungiwa kusajili katika madirisha matatu ya usajili ikiwa ni pamoja na kuondolewa msimu ujao kwenye michuano ya Kimataifa.
Uamuzi huo unaweza kufanywa muda wowote, kutokana na Yanga kushindwa kulipa kwa wakati deni la aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Luc Eymael.
Eymael aliiburuza Yanga kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) kwa kosa la kuchelewa kumlipa madai yake miezi michache baada ya kibarua chake kuota nyasi, Septemba 2021.
Hata hivyo miamba hiyo ya soka la Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki ilikubali kumlipa kocha huyo kwa awamu.
Kwa mujibu wa notisi ya malipo ya Eymael, Yanga ilipaswa kumalizana naye ndani ya siku 45 huku kuanzia Juni 9 mwaka huu wakitakiwa kulipa na riba ya asilimia tano hadi juzi Ijumaa ambapo ilikuwa siku ya mwisho kumaliza deni la Dola 66,000 ambazo ni zaidi ya Sh. 157milioni.
Kocha huyo, ameliambia Mwanaspoti kuwa asilaumiwe kwa kile ambacho FIFA inaweza kufanya kufuatia Yanga kushindwa kukamilisha kile ambacho walikubaliana kuhusu malipo yake kwani hadi siku ya mwisho, juzi walikuwa wamemlipa nusu ya kiwango ambacho alitakiwa kupata.
"Nimekuwa nikifanya nao mawasiliano lakini naona wamekuwa kimya, kwa kuwa hili suala limefika kwenye mamlaka husika kwa hiyo tutaona kile ambacho wataamua, wanaweza pia kuingia kwenye adhabu ya kupokonywa pointi tisa,"
"Mwaka 2018 au 2017, Amazulu walikuwa na kesi kama hii, hawakulipa hivyo FIFA iliwalazimisha kulipa au kushuka daraja kabla ya msimu mpya kuanza, siku zote hakuna aliye juu ya sheria," alisema kocha huyo.
Kwa mujibu wa Eymael inamaana kuwa hadi siku ya mwisho ya malipo yote kufanywa, Yanga ilikuwa imemlipa Dola 33,000 (Sh78.8 milioni).
Yanga inaweza kuwa kwenye wakati mgumu zaidi kama FIFA itachukua maamuzi hayo kutokana na baadhi ya wachezaji wao muhimu kuwa mbioni kutimka akiwemo Fiston Mayele anayehusishwa na klabu mbalimbali kubwa ndani na nje ya Afrika kufuatia kuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho.
Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe alitafutwa jana ili kutoa ufafanuzi wa jambo hilo, lakini simu yake haikupokelewa sawa na ilivyokuwa kwa Ofisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo.
Chanzo: Mwanaspoti
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kwani taratibu za kudai si anazijua aende huko huku mitandaoni atasaidika vipi?Hiyo haiwezi kuwa justification
Kwasababu watu ni kawaida kuwa na madeni ndio sababu ya kufanya usiwalipe waajiri wako?
Mtandaoni ni kupeana habari tu juu ya taarifa fulani watu wajue.Kwani taratibu za kudai si anazijua aende huko huku mitandaoni atasaidika vipi?
Mtu akikudai wewe anaenda kupost mitandaoni? walifunga mkataba mitandaoni? Swala Feisal lilitatuliwa na media gani?Mtandaoni ni kupeana habari tu juu ya taarifa fulani watu wajue.
Mtandaoni kuna influence kubwa inayoweza kufanya walipwe kutokana na kwamba taasisi inaweza kwenda kujichafulia jina lake.
Ishu ya Feisal ingefanyika kimya kimya unafikiri Raisi amgaweza kuipatia wapi?
Nani kasema media ilitatua swala la Feisali?Mtu akikudai wewe anaenda kupost mitandaoni? walifunga mkataba mitandaoni? Swala Feisal lilitatuliwa na media gani?
Duuh kumbe deni linaondoka akiwaita hivo?Yanga atamlipa vipi wakati kawaita Yanga Manyani ngwengwe?
Muda mbaya na msomali inaonekana kavurugwaMABINGWA wa Ligi Kuu Bara na Kombe la ASFC, Yanga wanaweza kukumbana na rungu la kufungiwa kusajili katika madirisha matatu ya usajili ikiwa ni pamoja na kuondolewa msimu ujao kwenye michuano ya Kimataifa.
Uamuzi huo unaweza kufanywa muda wowote, kutokana na Yanga kushindwa kulipa kwa wakati deni la aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Luc Eymael.
Eymael aliiburuza Yanga kwa Shirikisho la Kimataifa la Soka Duniani (FIFA) kwa kosa la kuchelewa kumlipa madai yake miezi michache baada ya kibarua chake kuota nyasi, Septemba 2021.
Hata hivyo miamba hiyo ya soka la Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki ilikubali kumlipa kocha huyo kwa awamu.
Kwa mujibu wa notisi ya malipo ya Eymael, Yanga ilipaswa kumalizana naye ndani ya siku 45 huku kuanzia Juni 9 mwaka huu wakitakiwa kulipa na riba ya asilimia tano hadi juzi Ijumaa ambapo ilikuwa siku ya mwisho kumaliza deni la Dola 66,000 ambazo ni zaidi ya Sh. 157milioni.
Kocha huyo, ameliambia Mwanaspoti kuwa asilaumiwe kwa kile ambacho FIFA inaweza kufanya kufuatia Yanga kushindwa kukamilisha kile ambacho walikubaliana kuhusu malipo yake kwani hadi siku ya mwisho, juzi walikuwa wamemlipa nusu ya kiwango ambacho alitakiwa kupata.
"Nimekuwa nikifanya nao mawasiliano lakini naona wamekuwa kimya, kwa kuwa hili suala limefika kwenye mamlaka husika kwa hiyo tutaona kile ambacho wataamua, wanaweza pia kuingia kwenye adhabu ya kupokonywa pointi tisa,"
"Mwaka 2018 au 2017, Amazulu walikuwa na kesi kama hii, hawakulipa hivyo FIFA iliwalazimisha kulipa au kushuka daraja kabla ya msimu mpya kuanza, siku zote hakuna aliye juu ya sheria," alisema kocha huyo.
Kwa mujibu wa Eymael inamaana kuwa hadi siku ya mwisho ya malipo yote kufanywa, Yanga ilikuwa imemlipa Dola 33,000 (Sh78.8 milioni).
Yanga inaweza kuwa kwenye wakati mgumu zaidi kama FIFA itachukua maamuzi hayo kutokana na baadhi ya wachezaji wao muhimu kuwa mbioni kutimka akiwemo Fiston Mayele anayehusishwa na klabu mbalimbali kubwa ndani na nje ya Afrika kufuatia kuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho.
Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe alitafutwa jana ili kutoa ufafanuzi wa jambo hilo, lakini simu yake haikupokelewa sawa na ilivyokuwa kwa Ofisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo.
Chanzo: Mwanaspoti
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app