Yanga hatihati kupoteza ndoo Ligi Kuu Tanzania Bara

Beatus Mtengwa

New Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
2
Reaction score
0
baada ya yanga kupoteza alama 7 mpaka sasaiv kufatia kukubali kichappo cha bao 1-0 kutoka kwa stand united SC ya shinyanga imefanya vita ianze upya zidi ya watani wao wa jadi wekundu wa msimbazi!!!!
 
kuelewa apo ni mpaka mwanafasihi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…