Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Kivumbi na Jasho lakin wapii, wale warabu nasikia walipokuja kwa mkapa walivaa viatu vyenye mfumo wa Four wheel drive 4×4,ndo maana walikua hawaanguki na ile mvua yote.
ile kiatu unaweza cheza hadi kwenye majaruba ya mpunga kule misungwi
Jamani hawa watu watatua aisee ingewezekana hilo kombe walichukue kuliko kuharbu gharama zetu... hzo medani za kushiriki watutumie kwenye basi.
Wanayanga tunawaza tuanze kubana pumbu zetu kuanzia sasa lakin si zitakua nyekundu mwishowe zikatike?
Aziza Shayo apigwe homa kali asiende kule huyu tulipigwa usiku wa manane tuliuziwa kitimoto badala ya mbuzi.
Mwiko nyuma mbele kwa mbele Daima.
YANGA AFRICA.
ile kiatu unaweza cheza hadi kwenye majaruba ya mpunga kule misungwi
Jamani hawa watu watatua aisee ingewezekana hilo kombe walichukue kuliko kuharbu gharama zetu... hzo medani za kushiriki watutumie kwenye basi.
Wanayanga tunawaza tuanze kubana pumbu zetu kuanzia sasa lakin si zitakua nyekundu mwishowe zikatike?
Aziza Shayo apigwe homa kali asiende kule huyu tulipigwa usiku wa manane tuliuziwa kitimoto badala ya mbuzi.
Mwiko nyuma mbele kwa mbele Daima.
YANGA AFRICA.