Unataka mabadiliko yapi kwani ulichangia sh ngapi? Mpira ni burudani, ukiona haupati burudani unayoitaka si uhamie utakapoona utapata burudani unayoitaka. Sio kila siku kuandika nyuzi za malalamiko Kama vile kuna mchango uliochangia kwa Yanga.[/QUOTE]Akili huna wewe sasa majukwaa yamewekwa kwa ajili ya nini..nyuzi za malalamiko ni lazima ili mabadiliko yatokee..kuna wanachama na viongozi wapo humu na wanapitia haya malalamiko hii pekee inatosha kuwaaminisha kwamba fans wanataka mabadiliko.. Kama huna cha kuchangia ni heri ukae kimya au uendelee kukata vitunguu kwa shemeji yako hapoNitafungua nyuzi mpaka siku nitakayoona kuna mabadiliko wewe kinachokuchosha nini sasa labda tuanzie hapo
Unataka niwe timu ganiIvi unapata faida gani kujifanya we shabiki wa yanga afu kumbe ni shabiki wa mbumbumbu?
Kwanini mashabiki wa mbumbumbu mna habari zetu afu sisi zenu hatuna?
Naona unaipenda yanga kijana maana kila siku we ni yanga tu..
Wewe si shabiki mkia!!,Endelea kushabikia mkia fc.Unataka niwe timu gani
Wewe sio mkia boss,Ila ni shabiki wa mkia fcMkia mwenyewe
Akili huna wewe sasa majukwaa yamewekwa kwa ajili ya nini..nyuzi za malalamiko ni lazima ili mabadiliko yatokee..kuna wanachama na viongozi wapo humu na wanapitia haya malalamiko hii pekee inatosha kuwaaminisha kwamba fans wanataka mabadiliko.. Kama huna cha kuchangia ni heri ukae kimya au uendelee kukata vitunguu kwa shemeji yako hapo.
Huangalii mpira au kama unaangalia basi hujui mpira hupaswi kutumia nguvu nyingi ili kugundua yanga bado mbovu kama ni mtu wa mpira utalitambua.Nimekuuliza mabadiliko gani unayotaka wewe?
hujanijibu. Mpaka kila siku unaandika minyuzi ya malalamiko juu ya Yanga ni wazi kwamba unaateseka na Yanga. Jifunze kujibu hoja sio kuleta mipasho ya mambo ya kukata vitunguu.
Kwanini unateseka na Yanga kila siku?
Unataka mabadiliko yapi?
Umeongelea kuwa Yanga ni mbovu je hadi sasa, hiyo timu wana muda gani tokea wachezaji na benchi wawe pamoja?
Yanga ni mbovu kwa kutumia kigezo kipi
Jibu hoja sio mipasho
Huangalii mpira au kama unaangalia basi hujui mpira hupaswi kutumia nguvu nyingi ili kugundua yanga bado mbovu kama ni mtu wa mpira utalitambua.
*Ukiwaangalia hakuna mipango ya moja kwa moja ya kutafuta goli
*hawachezi kitimu kila mtu anataka aonekane kwa wakati wake
*attacking midfielders wanashindwaga kupiga key passes ( sijawahi kuona mechi zote mbili)
*ni timu inayopanic ukiwathreat sana
Halafu nakushangaa eti utakuja kusema bado hawajazoeana sasa unazani mabadiliko mengine tunayoyataka sisi ni yapi waachage kusajili wachezaji 15 kwa msimu hii sio timu ya mchangani Bob yatupaswa kubadilika
MukokoooooooooooooooYanga 1 Kagera 0