Vipi kuhusu Azam waliosajili Saba? Ficha upumbavu wako. Sio unakurupuka tuHizo timu zinashiriki michuano ya CAF, deadline yake imebaki siku chache sana. Bahati mbaya Yanga haijamaliza kumlipa kocha Luc Eymael, akaunti inakataa password
Kama kuonyesha idadi ya wasiosajiliwa ni upumbavu, basi walaumu TFF, sio mimiVipi kuhusu Azam waliosajili Saba? Ficha upumbavu wako. Sio unakurupuka tu
Walitakiwa watoe hiyo taarifa masaa kadhaa kabla ya kufungwa Kwa dirisha. Maana Azam mpaka huo muda ilikua na watu Saba tu.Kama kuonyesha idadi ya wasiosajiliwa ni upumbavu, basi walaumu TFF, sio mimi
Mbumbumbu on one and two deadline ni tarehe 30 leo tarehe 21 unawashwa niniHizo timu zinashiriki michuano ya CAF, deadline yake imebaki siku chache sana. Bahati mbaya Yanga haijamaliza kumlipa kocha Luc Eymael, akaunti inakataa password
Wala haihusiani na kutomlipa kocha, hata kama ingekuwa inahusiana inamana Yanga hawapaswi kuwa na wachezaji hata wa zamani?Hizo timu zinashiriki michuano ya CAF, deadline yake imebaki siku chache sana. Bahati mbaya Yanga haijamaliza kumlipa kocha Luc Eymael, akaunti inakataa password