Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rejea simba ilopigwa tanotano na al ahly na as vita, mashabiki waliujaza uwanja mechi za marudiano, sasa inakuaje uto mpaka muanze kushinda ndo muujaze?Mashabiki bado hawajiamini, wakianza kupata matokeo, watajaza uwanja.
Yaani uhakika al ahly kaja kafa 2, kaja wydad kafa 3, mechi inayofata watafurika uwanjani
Hivi uwanjani Huwa wanaingia bureKwa kiwango cha yanga na muendelezo wa matokeo mazuri ya team yao nilitegemea jana wajae ila imekuwa tofauti na matarajio licha ya majigambo na mwenendo mzuri ila uwanja ulikuwa nusu hakukuwa na sold out na ile
Simba ni kesi nyingine, mashabiki wa simba ni wa kipekee linapokuja suala la kwenda uwanjani... Mara nyingi hata mimi huwa siendi sababu ya matokeo mazuri kuna muda najisikia tu kwenda taifa kuitizama simba(chama langu)Rejea simba ilopigwa tanotano na al ahly na as vita, mashabiki waliujaza uwanja mechi za marudiano, sasa inakuaje uto mpaka muanze kushinda ndo muujaze?
Ila wewe hapa unaimba, au siyo Kolokhamsa [emoji2]Hawana morale..ni wabwabwaji tuu mitandaoni...
Samaleko mr msuli...Ila wewe hapa unaimba, au siyo Kolokhamsa [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndo uto waelewe kabisa SIMBA ni taifa kubwa.Simba ni kesi nyingine, mashabiki wa simba ni wa kipekee linapokuja suala la kwenda uwanjani... Mara nyingi hata mimi huwa siendi sababu ya matokeo mazuri kuna muda najisikia tu kwenda taifa kuitizama simba(chama langu)
Twakimu za bodi ya ligi zinasemaje kuhusu idadi ya mahudhurio viwanjani? au una takwimu zako binafisiKwa kiwango cha yanga na muendelezo wa matokeo mazuri ya team yao nilitegemea jana wajae ila imekuwa tofauti na matarajio licha ya majigambo na mwenendo mzuri ila uwanja ulikuwa nusu hakukuwa na sold out na ile
Mechi ya Simba na ASEC uwanja ulijaa? au mnajitoa fahamuSimba ni kesi nyingine, mashabiki wa simba ni wa kipekee linapokuja suala la kwenda uwanjani... Mara nyingi hata mimi huwa siendi sababu ya matokeo mazuri kuna muda najisikia tu kwenda taifa kuitizama simba(chama langu)